Mzee wa hat-trick
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 1,730
- 2,388
Wadau,
Nipo njiani naelekea Morogoro sasahivi, kuanzia Kimara ikatokea gari ya jeshi inapiga king'ora, kumbe inasindikiza malori kma 10 hivi ya jeshi kila moja limebeba kontena la 40ft. Hatujajua kuna nini ndani.
Ningekuwa nasafiri kwa private, trafiki wangenikasirikia sana, kwa sababu ningejitahidi kwenda mwendo wao tu, trafiki akitahamaki nimeshampita. Basi nililopanda, dereva anaenda nao yani ile man-to-man, hawaachi.
Nipo njiani naelekea Morogoro sasahivi, kuanzia Kimara ikatokea gari ya jeshi inapiga king'ora, kumbe inasindikiza malori kma 10 hivi ya jeshi kila moja limebeba kontena la 40ft. Hatujajua kuna nini ndani.
Ningekuwa nasafiri kwa private, trafiki wangenikasirikia sana, kwa sababu ningejitahidi kwenda mwendo wao tu, trafiki akitahamaki nimeshampita. Basi nililopanda, dereva anaenda nao yani ile man-to-man, hawaachi.