Natamani ningekua nimezaliwa miaka 80 iliyopita!!!!

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,707
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!! . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nyote mnaochangia hebu changieni kwa kushauri kulingana na changamoto hizi zinazotukabili,mtoa mada anaweza kuwa amewawakilisha wenye maisha yenye changamoto hiyo,sio lazima ahusike!
 
Pole sana...maisha ya sasa hasa kwa wanaoishi jiji la Dar lenye foleni za kufa mtu yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na marafiki wanaofanya kazi sehemu mbali mbali jijini kuhusu wanachokifanya ili kuwahi kazini.

Wengine wanadai kuamka saa 10 za alfajiri hupata kifungua kinywa ndani ya gari na wakimaliza kazi hawaingii majumbani mwao mpaka saa mbili za usiku au zaidi. Sasa saa ngapi utakuwa na nafasi ya kukaa na watoto, mume/mke na ilhali inabidi ukalale ili siku inayofuata uweze kuamka zile saa zako za saa 10 ya alfajiri.


Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!
 
Kujipaga na kuweka vipaumbele tu

Kama satsifaction yako iko kwenye pesa basi tafuta pesa
kama iko kwenye familia basi tenga muda wa familia.

Wee ni introvert au extrovert??

Kuwa introvert au extrovert inasaidia eh?
Kwani mm unanijudge vipi kati ya hizo 2options? siwezi kuwa between?
 
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!


hamieni mbagala, huko kimara, mbezi, tegeta, kibamba, mbweni, boko, tabata, ukonga ndo kunawaponza........... mie natarajia kuhamia charambe soon sitaki shida......


Pole sana...maisha ya sasa hasa kwa wanaoishi jiji la Dar lenye foleni za kufa mtu yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na marafiki wanaofanya kazi sehemu mbali mbali jijini kuhusu wanachokifanya ili kuwahi kazini.

Wengine wanadai kuamka saa 10 za alfajiri hupata kifungua kinywa ndani ya gari na wakimaliza kazi hawaingii majumbani mwao mpaka saa mbili za usiku au zaidi. Sasa saa ngapi utakuwa na nafasi ya kukaa na watoto, mume/mke na ilhali inabidi ukalale ili siku inayofuata uweze kuamka zile saa zako za saa 10 ya alfajiri.
 
Jiji limebadilika sana kiasi ambacho hata raha ya kuishi jijini kama ilivyokuwa miaka iliyopita imepotea kabisa. Sasa inyeshe na mvua hapo ndio unazidi kulichukia jiji.


hamieni mbagala, huko kimara, mbezi, tegeta, kibamba, mbweni, boko, tabata, ukonga ndo kunawaponza........... mie natarajia kuhamia charambe soon sitaki shida......
 
mie huku nilipo,'Tandahimba' wala sitamani kuzaliwa miaka hiyo,unavyovikosa mimi ndio ninavyovipata!!asbh twatoka saa 0815,dakika 5 tumefika kazini,saa 1430 tunatoka kazini pia dakika 5 tuko hom!!twafurahia maisha,pole
 
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!
Mnafanya kazi gani?
 
inasaidia sana kujijua unaangukia wapi.

Ili ujue jinsi ya kukabiliana na mazingira unayokuwa.

Kuwa introvert au extrovert inasaidia eh?
Kwani mm unanijudge vipi kati ya hizo 2options? siwezi kuwa between?
 
mmmmh hapo kwenye mvua ndo patamu hapo..... utatamani upae kwa ungo hadi kwako.....



Jiji limebadilika sana kiasi ambacho hata raha ya kuishi jijini kama ilivyokuwa miaka iliyopita imepotea kabisa. Sasa inyeshe na mvua hapo ndio unazidi kulichukia jiji.
 
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!

Kama unaishi Dar ni sawa..
Ila ukienda mikoani unapata muda wa kukaa na familia yako mpaka basi..
Wakati mwingine tusiache mihangaiko ya maisha itawale kila kitu..utakuja kukuta mwana si wako!
 
We acha tu halafu pamoja na mfumuko mkubwa wa population jijini (wahamiaji toka mikoani) bado Serikali hii dhaifu haioni umuhimu wa kuboresha drainage system badala ya hii ya sasa ambayo ni ya mwaka 47. Ikitokea mvua kubwa nyingine basi kutakuwa na maafa ya kutisha.

mmmmh hapo kwenye mvua ndo patamu hapo..... utatamani upae kwa ungo hadi kwako.....
 
Kujipaga na kuweka vipaumbele tu

Kama satsifaction yako iko kwenye pesa basi tafuta pesa
kama iko kwenye familia basi tenga muda wa familia.

Wee ni introvert au extrovert??

Introvert is a person characterized by concern primarily with his or her own thoughts and feelings..a shy person.
Extrovert is a person concerned primarily with the physical and social environment...an outgoing, gregarious person.
Ahsante Kongosho umenirudisha darasani..lol!
 
mie huku nilipo,'Tandahimba' wala sitamani kuzaliwa miaka hiyo,unavyovikosa mimi ndio ninavyovipata!!asbh twatoka saa 0815,dakika 5 tumefika kazini,saa 1430 tunatoka kazini pia dakika 5 tuko hom!!twafurahia maisha,pole

Haya ndo matatizowa ya binadamu.Yaani kama tatizo haliko kwake hilo sio tatizo,u-mimi tu ndo mwingi!
 
Kama unaishi Dar ni sawa..
Ila ukienda mikoani unapata muda wa kukaa na familia yako mpaka basi..
Wakati mwingine tusiache mihangaiko ya maisha itawale kila kitu..utakuja kukuta mwana si wako!

this is very naked true, kama unafamilia aisee sio ya kuichezea atii, tenga muda uipe nafasi pesa inatafutwa hata ikiisha utatafuta nyingine, hata ukiibiwa vitu na mali utatafuta nyingine, ukipoteza familia kwa kutafuta pesa lolest yako aiseee!!!
 
Pole sana...maisha ya sasa hasa kwa wanaoishi jiji la Dar lenye foleni za kufa mtu yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na marafiki wanaofanya kazi sehemu mbali mbali jijini kuhusu wanachokifanya ili kuwahi kazini.

Wengine wanadai kuamka saa 10 za alfajiri hupata kifungua kinywa ndani ya gari na wakimaliza kazi hawaingii majumbani mwao mpaka saa mbili za usiku au zaidi. Sasa saa ngapi utakuwa na nafasi ya kukaa na watoto, mume/mke na ilhali inabidi ukalale ili siku inayofuata uweze kuamka zile saa zako za saa 10 ya alfajiri.

Kuna rafiki yangu mmoja hapo dar yeye huamka saa kumi iliafike kazini saa moja na nusu na jioni hutoka saa moja na kufika saa nne au saa tano..huwa namshangaa sana maisha gani sasa hayo hapo mke watoto watapata mapenzi ya baba kweli mama atapata haki yake kweli
 
BADILI TABIA,hujaelewa kitu hapo.Changamoto sio kuja usiku pekee zipo nyingi kwenye familia na maisha ya leo.Nakumbuka mwaka 1998 nilipata ajira kwenye kampuni moja,mkurugenzi na mkewe ni kama sio mtu na mkewe,katika miaka yangu 7 ya kufanya kazi pale ni wiki moja tu walikaa pamoja!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom