TASLIMA
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,010
- 3,568
Sio poa kuchokoza waremboWe Bibi, miaka 27 hujaolewa?
Sio poa kuchokoza waremboWe Bibi, miaka 27 hujaolewa?
Kwa kweli Mkuu!Ujengewe sanamu posta..
Ni wanawake wachache wenye nia kama mtoa mada.Asee nini sasa Mkuu?
Hahaaa. Ni kweli Mkuu lakini yote hii ni vile hajui akishaingia humo ndani ilivyo ngumu sana kukubali hiyo kitu.Ni wanawake wachache wenye nia kama mtoa mada.
Ahahaha akishajua tamu ya ndoa na mlivyo na wivu sasa!!Hahaaa. Ni kweli lakini yote hii ni vile hajui akishaingia humo ndani ilivyo ngumu sana kukubali hiyo kitu.
Hahahaaa. Mkuu si ajabu akaifutilia mbali hii kauli.Ahahaha akishajua tamu ya ndoa, na mlivyo na wivu sasa!!
Kwenye kikao kijacho tutakubaliana yafuatayo:Habari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, mekua nkitamani siku nkiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaan naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kua bi mdogo au mke wa pili nop natamani tuwe niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani. nawaona wake za baba angu mkubwa yaani wanapendana huwezi Dhani ni wake wenza.
Japo kwa dini yetu ya kikristo wanaamini ni dhambi but.
Personally nimeyatamani sana haya maisha.
Sababu yake amevutiwa na wake wa Baba yake mkubwa wanavyo pendana, amesahau kuwa nyie ni waigizaji wakuu.Hahahaaa. Mkuu si ajabu akaifutilia mbali hii kauli.
Japo naona vile wanaume mumependa hilo bandiko lake mana wengi ndo wanavyopenda hivi.
Dah ukwapi nakutafuta, umepata sifa ya kua mke boraHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Haya ndio yaliyopo kichwani mwako Ila unajaribu kumpandikizia mtoa mada.Duuh inaelekea:
1.Una wivu sana ndio maana unataka aoe mke mwingine umuonyeshe upendo wa kweli uko wapi
2.Unapenda kushindana na mwenzio tu katika mahaba mkomeshane
3. Umezoea threesome sex, au unaitamani walau uone ikoje
4. Hujui maana halisi ya Upendo
Yani Kuna mtazamo mingi kiasi kwamba nashangaa mnoo, maana hata wanaoolewa Mathna(mke mwenza) wanasikia maumivu moyoni ila watakubali sababu ni Dini
Kama kwa mumeo unataka watoto tu Bora usioleweMwenyewe huwa nawaza ka wewe mleta mada mume awe hata na wake sita hivi ili kunipa na mimi mda wa kutimiza ndoto nikiwa busy na kazi zangu pia maana kikubwa mimi kwa mwanaume ni kutaka watoto sasa nikiwa nao tayari furaha yangu yeye ahangaike na hao wake wengine tena ubusy huo hata kugombana na kusumbuana inakuwa kidogo mno.
Hii ni gia ya kutafuta mchumba humuHabari zenu wakuu,
Sijui ni kawaida? I'm 27 yrs lakini katika kuishi kwangu kote mpaka leo, nimekua nkitamani siku nikiolewa baada ya muda kadhaa nimruhusu mume wangu aoe mke mwingine...yaani naona kama tukiwa wawili ndoa itakua na Raha.
Sitaki kuwa bi mdogo au mke wa pili nop natamani tu niwe mke mkubwa afu mme wangu nimruhusu aoe mwingine ambae natamani tuwe na amani.
Shida yako watoto tu? Mbona sperm donors wamejaa hapa duniani.Mwenyewe huwa nawaza ka wewe mleta mada mume awe hata na wake sita hivi ili kunipa na mimi mda wa kutimiza ndoto nikiwa busy na kazi zangu pia maana kikubwa mimi kwa mwanaume ni kutaka watoto sasa nikiwa nao tayari furaha yangu yeye ahangaike na hao wake wengine tena ubusy huo hata kugombana na kusumbuana inakuwa kidogo mno.