Tafuta pesa matatizo yako yataisha
Mamake alifanyiwa operation ndo akatoka!
mi napenda vibamia.
Lakini jamaa kaniudhi aliposema mna masinia na mabeseni. Anatukana gegedo? Pumbaffff zake.mi napenda vibamia.
pole sana kiongozi, lakini unapaswa kujiamini kwa sababu maumbile hayakosolewi, wakati wewe unalalamika kibamia
kuna wenzio wanalalamika Jogoo hawiki, so kama vipi Mshukuru kwa kila jambo. You are still a man and you deserve family.
ungeomba msaada kistaarabu ungepungukiwa nini? tujaribu kuwa wema kwa wenzetu sometimes, neno lako moja linaweza kujenga au kubomoa
Lakini jamaa kaniudhi aliposema mna masinia na mabeseni. Anatukana gegedo? Pumbaffff zake.
Oa, ndoa ni stara, tunaambiwa katika dini yetu waislam .. Mnastiriana ikiwa pamoja na aibu.. Lakini pia angalia unapooa .. Waislam tunaangalia mambo 4 kabla ya kuoa hatubebi tu ili kupata mke mtakaye sitiriana