GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,068
- 107,559
1. Nitaanza kutembelea na nchi za Ulaya na Marekani hadi huko Asia badala ya Kung'ang'ania tu Dar es Salaam na Dodoma Tanzania.
2. Nitahakikisha Maadui zangu wote wa Kisiasa wanakuwa Marafiki zangu wakubwa wa Maendeleo.
3. Nitaacha Ubishi na Ubabe bila kusahau na Ukali.
4. Nitaanza Kutembelea na Mikoa mingine ya Tanzania na siyo tu Mara, Mwanza, Geita na Tabora.
5. Sitokuwa nabuni tena Matukio ili baadae nije niyatatue halafu nipate Umaarufu / Sifa.
6. Sitokuwa Mnafiki na sitopenda Watu waniombee bali kuanzia sasa nitakuwa najiombe mwenyewe.
7. Nitapenda mno na sana Kushaurika na Watanzania na nitakuwa naupitia mara kwa mara Mtandao wa JamiiForums ili unijenge zaidi.
Nawasilisha.
2. Nitahakikisha Maadui zangu wote wa Kisiasa wanakuwa Marafiki zangu wakubwa wa Maendeleo.
3. Nitaacha Ubishi na Ubabe bila kusahau na Ukali.
4. Nitaanza Kutembelea na Mikoa mingine ya Tanzania na siyo tu Mara, Mwanza, Geita na Tabora.
5. Sitokuwa nabuni tena Matukio ili baadae nije niyatatue halafu nipate Umaarufu / Sifa.
6. Sitokuwa Mnafiki na sitopenda Watu waniombee bali kuanzia sasa nitakuwa najiombe mwenyewe.
7. Nitapenda mno na sana Kushaurika na Watanzania na nitakuwa naupitia mara kwa mara Mtandao wa JamiiForums ili unijenge zaidi.
Nawasilisha.