Aniva
JF-Expert Member
- Jan 25, 2018
- 717
- 798
Hellow,
Najihisi mpweke sana kipindi hichi cha mvua maana tangu tumeachana na mwenzangu ni takribani miezi sita sijapata wa kumuamini.
Natamani ningekuwa na mtoto kipindi hichi na mimi nimkumbatie nahisi angekuwa tulizo tosha na ningefarijika na ningekuwa na amani tofauti na sasa.
Uwezo wa kumpata ninao tatizo kila anekuja naona muongo kutokana na approaching style yake na kiukweli sijawahi vutiwa kabisa na mtu yeyote kutokana na sababu hii.
Nia ya hii post nahitaji mshauri mwenye kujua psychology vizuri na kunifanya niwe kawaida.
Nadhani itasaidia kunifanya nimpate baba wa watoto wangu ushauri pia nitazingatia.
Nawapenda.
Najihisi mpweke sana kipindi hichi cha mvua maana tangu tumeachana na mwenzangu ni takribani miezi sita sijapata wa kumuamini.
Natamani ningekuwa na mtoto kipindi hichi na mimi nimkumbatie nahisi angekuwa tulizo tosha na ningefarijika na ningekuwa na amani tofauti na sasa.
Uwezo wa kumpata ninao tatizo kila anekuja naona muongo kutokana na approaching style yake na kiukweli sijawahi vutiwa kabisa na mtu yeyote kutokana na sababu hii.
Nia ya hii post nahitaji mshauri mwenye kujua psychology vizuri na kunifanya niwe kawaida.
Nadhani itasaidia kunifanya nimpate baba wa watoto wangu ushauri pia nitazingatia.
Nawapenda.