Natamani mji wa dar uwe kama huu mji unasemaje?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,293
33,078
23956_410714139001718_1453798692_n.jpg


Weka (LIKE) kama unapenda Dar-Es-Salaam ijengwe hivi...na COMMENT kama unaona haitawezekana...!
 
Hivi ni vijimambo tu ngoja vijisenti vyetu vya Uswiss vipatikane.
mkuu TONGONI Unangojea mpaka Vijisenti walivyoiba Mafisadi virudi ndio uwe na wazo la kujenga mji wa dar akama hiyo picha inavyoonyesha?Sahau kabisa pesa hizo harudi ndio zimekwisha kwenda Kiendacho kwa Mganga huwa hakirudi kaka.
 
Last edited by a moderator:
Lami za Kibongo bongo mtu akikojolea tu panatoboka!! Je, kama hiyo si itakuwa hatari tupu!? Ila Jeikei alishahaidi kinachofuatia sasa ni upembuzi yakinifu!!?
 
sijui, labda Mwai Kibaki akiwa raisi wa Tanzania
Na kwa kuongezea hapo, labda tupitishe kwenye katiba mpya kuwa rais wetu lazima awe kaburu toka africa kusini. Ni hapo tu ndio tutaweza kujenga kama hivyo ilivyo hapo kwenye picha.
 

Attachments

  • barabara za juu.jpg
    barabara za juu.jpg
    106.4 KB · Views: 62
Hapa patakuwa Kigamboni (in the future) !!. Maisha yatakuwa 'bora' !!!!
attachment.php
 

Attachments

  • KigamboniNewCityA_Page_10.jpg
    KigamboniNewCityA_Page_10.jpg
    71.5 KB · Views: 869
Back
Top Bottom