GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Wahaya tafadhalini endeleeni Kufa ili wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) tuje Kula, Kunywa na Kusaza Majumbani mwenu. Na naomba Mungu sana Wahaya wakishamaliza Kufa wote sasa zamu iwe kwa Waha kisha Wanyiramba, Wanyaturu, Warangi na Wakara ili tuweze ' Kushiba ' huko Misibani mwenu.
Jamani bado naendelea kuwapa Pole zangu nyingi sana Watanzania wote, wana Familia wa CMG, wana Tasnia ya Habari nchini, Familia yake nzima Baba na Mama pamoja na wale Wapendwa wake wote ambao wameguswa kwa namna moja au nyingine na Msiba huu mzito wa Ndugu yetu ' Genius ' wa Entertainment, Creative Industry na Media Marehemu Ruge Mutahaba.
Tupo pamoja katika Msiba ( siyo Cyprian ) mzito kabisa na pigo kwa nchini na Sisi Watani zenu wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) tumeumia na kusikitika mno kwani ni kupitia huyu huyu Marehemu Ruge ndiyo aliweza ' Kuwahimiza ' Wahaya wote hasa Wanawake wawe wanapenda na kujipendekeza sana kwa Wanaume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) na kutulazimisha tuwaoe huku wakisema kuwa Wanaume wa Kagera ( Bukoba ) hawajui Kupenda, hawapigi na hawajeruhi pia.
Nawasilisha.
Jamani bado naendelea kuwapa Pole zangu nyingi sana Watanzania wote, wana Familia wa CMG, wana Tasnia ya Habari nchini, Familia yake nzima Baba na Mama pamoja na wale Wapendwa wake wote ambao wameguswa kwa namna moja au nyingine na Msiba huu mzito wa Ndugu yetu ' Genius ' wa Entertainment, Creative Industry na Media Marehemu Ruge Mutahaba.
Tupo pamoja katika Msiba ( siyo Cyprian ) mzito kabisa na pigo kwa nchini na Sisi Watani zenu wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) tumeumia na kusikitika mno kwani ni kupitia huyu huyu Marehemu Ruge ndiyo aliweza ' Kuwahimiza ' Wahaya wote hasa Wanawake wawe wanapenda na kujipendekeza sana kwa Wanaume wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) na kutulazimisha tuwaoe huku wakisema kuwa Wanaume wa Kagera ( Bukoba ) hawajui Kupenda, hawapigi na hawajeruhi pia.
Nawasilisha.