mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Timu "chanjo Yes" iongozwe na Dr Gwajima na timu "chanjo No" iongozwe na Askofu Gwajima!
Huo mdahalo mtoto hatumwi dukani. Kuna timu moja naiona haiwezi kuthubutu kutia mguu kwenye mdahalo huo, naiona ina hali mbaya.
Wamiliki wa luninga jaribuni kuzikutanisha timu hizo mbili ili watu wote waweze kutenganisha.
Pumba na mbegu ili wafanye maamuzi sahihi. Huku kwenye mitandao ya kijamii timu moja iko hoi sana.
Kwa bahati mbaya kwenye mitandao ya kijamii si watu wote wanapita huku. Lakini kwenye luninga mamilioni watatazama.
Naiomba serikali yetu sikivu wakubali mdahalo huo watakapoombwa na wamiliki wa luninga.
Huo mdahalo mtoto hatumwi dukani. Kuna timu moja naiona haiwezi kuthubutu kutia mguu kwenye mdahalo huo, naiona ina hali mbaya.
Wamiliki wa luninga jaribuni kuzikutanisha timu hizo mbili ili watu wote waweze kutenganisha.
Pumba na mbegu ili wafanye maamuzi sahihi. Huku kwenye mitandao ya kijamii timu moja iko hoi sana.
Kwa bahati mbaya kwenye mitandao ya kijamii si watu wote wanapita huku. Lakini kwenye luninga mamilioni watatazama.
Naiomba serikali yetu sikivu wakubali mdahalo huo watakapoombwa na wamiliki wa luninga.