Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Faida za mbunge wangu kuachana na siasa uchawara zama hizi.
1. Wilaya yangu itakuwa maarufu kama Igunga.
2. Vyombo vya habari vitahamia huko, wananchi wataweza kueleza shida zao, zikaandikwa, pia zikasomwa na wananchi wengine.
3. Viongozi wastaafu mf. Mkapa watafika wilayani, na kusifia maendeleo ya ccm.
4. Viongozi wa vyama vya siasa mf. Nape, Slaa, Mbowe watafika ndani ya wilaya yangu.
Kwakweli Wilaya Yangu itakuwa maarufu sana.
Serikali imeshindwa kutumia rasilimali zilizopo kuifanya iwe maarufu.
Nakuomba mbunge wangu ajiuzulu ili nasi tuwe maarufu.
1. Wilaya yangu itakuwa maarufu kama Igunga.
2. Vyombo vya habari vitahamia huko, wananchi wataweza kueleza shida zao, zikaandikwa, pia zikasomwa na wananchi wengine.
3. Viongozi wastaafu mf. Mkapa watafika wilayani, na kusifia maendeleo ya ccm.
4. Viongozi wa vyama vya siasa mf. Nape, Slaa, Mbowe watafika ndani ya wilaya yangu.
Kwakweli Wilaya Yangu itakuwa maarufu sana.
Serikali imeshindwa kutumia rasilimali zilizopo kuifanya iwe maarufu.
Nakuomba mbunge wangu ajiuzulu ili nasi tuwe maarufu.