Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
Nimewacheki Mademu, Celebrities, Singo Maza, Madanga na Malaya waliokubuhu huko Nigeria, wala sijaenda pengine
Jinsi walivyoendelea, kila mwanamke ana maisha yake... wanamiliki Majumba, Wamewekeza kwenye Real Estates, Movie Industries, wamejenga Ma-Appartments... akaunt zao zinasoma Billion Nairas... Magari yao wanacheza kwenye BMW, AUDI, PORCHE Cars ... Wanalipa kodi...
Mwanamke ukimkuta Instagram anajidai lakini anajidai kwasababu ana maisha yake na hela zake ... na yupo Proud ...anasema kabisa mimi zamani nimeanza vibaya lakini sasa hivi nina wafanyakazi 50 mpaka 100 wananitegemea... haijalishi ulipoanza Mwisho ndio kila kitu, finali ndio kila kitu!
TUKIRUDI HUKU KWETU BONGO:
Wanawake kama hao hao wa Nigeria, wapo Buzy Instagram wanagombana nani kaenda kwa Mganga... sijui nani kampeleka mwanae kwa Mganga akiwa mtoto kwanza... sijui Mara Kuchambana... kiki za kijinga jinga... huko kwa Youtube ndio kabisa ni vituko... Kuzungukana na kuibiana Mabwana... sasa si bora muibiane Mabwana lakini muwe mnaenda Mbele kuliko kurudi nyuma!
Wengine Buzy wanapost mapicha wamepiga mamekapu ya elfu 70 kwenye akaunt hawana hata mia wanategemea wakadangwe
Tunaomba jamani Nduguzetu Mnaojiita Ma-Celebrity, Madanga Maarufu, Malaya mliokubuhu angalau basi mjifunze kwa nduguzetu wa Nigeria!
Nyie mkiendesha TOYOTA mnajiona mmefiiiiika! oh Nina Prado!
Tunaomba Wadada wa Kitanzania muamke basi Mtalala mpaka lini?
Mimi ndio maana nikiwa nje ya Africa wakiniuliza where are you from nasemaga Am from Ethiopia au Mouritious!
Kiru!
Ngoja niendelee kuandika hadithi mie!
Jinsi walivyoendelea, kila mwanamke ana maisha yake... wanamiliki Majumba, Wamewekeza kwenye Real Estates, Movie Industries, wamejenga Ma-Appartments... akaunt zao zinasoma Billion Nairas... Magari yao wanacheza kwenye BMW, AUDI, PORCHE Cars ... Wanalipa kodi...
Mwanamke ukimkuta Instagram anajidai lakini anajidai kwasababu ana maisha yake na hela zake ... na yupo Proud ...anasema kabisa mimi zamani nimeanza vibaya lakini sasa hivi nina wafanyakazi 50 mpaka 100 wananitegemea... haijalishi ulipoanza Mwisho ndio kila kitu, finali ndio kila kitu!
TUKIRUDI HUKU KWETU BONGO:
Wanawake kama hao hao wa Nigeria, wapo Buzy Instagram wanagombana nani kaenda kwa Mganga... sijui nani kampeleka mwanae kwa Mganga akiwa mtoto kwanza... sijui Mara Kuchambana... kiki za kijinga jinga... huko kwa Youtube ndio kabisa ni vituko... Kuzungukana na kuibiana Mabwana... sasa si bora muibiane Mabwana lakini muwe mnaenda Mbele kuliko kurudi nyuma!
Wengine Buzy wanapost mapicha wamepiga mamekapu ya elfu 70 kwenye akaunt hawana hata mia wanategemea wakadangwe
Tunaomba jamani Nduguzetu Mnaojiita Ma-Celebrity, Madanga Maarufu, Malaya mliokubuhu angalau basi mjifunze kwa nduguzetu wa Nigeria!
Nyie mkiendesha TOYOTA mnajiona mmefiiiiika! oh Nina Prado!
Tunaomba Wadada wa Kitanzania muamke basi Mtalala mpaka lini?
Mimi ndio maana nikiwa nje ya Africa wakiniuliza where are you from nasemaga Am from Ethiopia au Mouritious!
Kiru!
Ngoja niendelee kuandika hadithi mie!