Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,141
- 21,279
Habari wakuu.
Hivi ni namna gani hasa mtu anaweza kutengeneza hela, kazi hizi mishahara midogo, 250k kwa mwezi hela ndogo sana hapa mjini, unajibana mpaka hupumui, nashindwa hata kuangalia mpira kibanda umizi. Nimekuja kujua solution ni kutafuta pesa sio kujibana matumizi, mwisho nitakufa bure ..
Nimejitahidi kutengeneza connection na network na watu kupata michongo lakini mambo magumu ...
Piga harakati hapa na palee lakini hela haionekani...
Beti sanaa labda nitapa hela, naishia vipigoo vya hatari mpaka naihisi nimerogwa..
Naenda kanisani sana, kwani ilifika mahali mama akasema nisali sana lakini huku kanisani nako kila mtu yupo busy, hakuna ujamaa tena kama zamani, watu wakitoka nje tuu wanaingia kwenye magari yao na familia zao haooo..
Hakuna tena kualikana nyumbani, kuongea na kubadilishana mawazo kama zamani, hata kanisani watu wanaishi kibandinduu...
Aisee nawaza kwenda kwa mganga saizi, labda nyota yangu imefifia...
Wakuu mnaonaje..
Hivi ni namna gani hasa mtu anaweza kutengeneza hela, kazi hizi mishahara midogo, 250k kwa mwezi hela ndogo sana hapa mjini, unajibana mpaka hupumui, nashindwa hata kuangalia mpira kibanda umizi. Nimekuja kujua solution ni kutafuta pesa sio kujibana matumizi, mwisho nitakufa bure ..
Nimejitahidi kutengeneza connection na network na watu kupata michongo lakini mambo magumu ...
Piga harakati hapa na palee lakini hela haionekani...
Beti sanaa labda nitapa hela, naishia vipigoo vya hatari mpaka naihisi nimerogwa..
Naenda kanisani sana, kwani ilifika mahali mama akasema nisali sana lakini huku kanisani nako kila mtu yupo busy, hakuna ujamaa tena kama zamani, watu wakitoka nje tuu wanaingia kwenye magari yao na familia zao haooo..
Hakuna tena kualikana nyumbani, kuongea na kubadilishana mawazo kama zamani, hata kanisani watu wanaishi kibandinduu...
Aisee nawaza kwenda kwa mganga saizi, labda nyota yangu imefifia...
Wakuu mnaonaje..