Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
- Thread starter
- #21
Kwakuwa yeye si Babu wa Loliondo.. Nilichagua kumwamini babu kutokana na background yake kama nilivyoelezea na nimechagua kutomwamini Gwajima kutokana na background yake pia..Mbona Gwajima akisema anafufua misukule kwa sababu katumwa na Mungu humuamini?
Zaidi babu hakuwahi kusema anafufua wafu..!