Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Habari ya mwisho wa mwezi wakuu.
Binafsi nimetokea kupenda hii fani ya mambo ya fasihi. Lakini kwa upande wa elimu yangu ni ndogo, niliishia kidato cha 4 miaka 12 iliyopita na sikuendelea tena na masomo.
Je, nawezaje kuwa mjuzi wa fani hiyo tajwa hapo juu?
Ushauri/maelekezo yanaombwa
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimetokea kupenda hii fani ya mambo ya fasihi. Lakini kwa upande wa elimu yangu ni ndogo, niliishia kidato cha 4 miaka 12 iliyopita na sikuendelea tena na masomo.
Je, nawezaje kuwa mjuzi wa fani hiyo tajwa hapo juu?
Ushauri/maelekezo yanaombwa
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app