hebu Rev, dadavua tena kidogo!wanafaidi nini?
Wakukaya(Nkwingwa) umechoka kuishi maisha ya uraiani sasa.
Unataka kumfuata babu seyaaaaaaaaaaaaaa?
Kuna Fataki moja limedadavua waziri wa Kikwete!
haha hakuishia kudadavua tu na makande akamshindilia..
Mkuu umenifurahisha sana..... ama kweli watu mnajua kunyumbulisha......Kuna Fataki moja limedadavua waziri wa Kikwete!
Jamani nimeona hawa jamaa wanafaidi sana! Sijui hii fani ya ufataki inasomewa wapi nipeleke applications walau nitumiwe application form ili niweze peleka bodi ya mikopo.
Ushauri wapwaz
![]()
mwanao ndo atafanywa fataki. kua uyaone..
Natamani kumponda mawe FATAKI! :fencing:
Natamani kumponda mawe FATAKI! :fencing:
Jamani nimeona hawa jamaa wanafaidi sana! Sijui hii fani ya ufataki inasomewa wapi nipeleke applications walau nitumiwe application form ili niweze peleka bodi ya mikopo.
Ushauri wapwaz
![]()
Hawa hawafaidi kitu... sisi ma FATUKA ndo tuna faudu!
FATUKA = Hawa ni wanaume walio oa lakini wanadadavua mabinti wasioolewa walokole (wapendwa)!! below 25 above 20 years!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us