Kuna Fataki moja limedadavua waziri wa Kikwete!
Mkuu umenifurahisha sana..... ama kweli watu mnajua kunyumbulisha......Kuna Fataki moja limedadavua waziri wa Kikwete!
Jamani nimeona hawa jamaa wanafaidi sana! Sijui hii fani ya ufataki inasomewa wapi nipeleke applications walau nitumiwe application form ili niweze peleka bodi ya mikopo.
Ushauri wapwaz
![]()
Natamani kumponda mawe FATAKI! :fencing:
Jamani nimeona hawa jamaa wanafaidi sana! Sijui hii fani ya ufataki inasomewa wapi nipeleke applications walau nitumiwe application form ili niweze peleka bodi ya mikopo.
Ushauri wapwaz
![]()