wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,538
Itakua uliniuzia maji ya mvua komredi.Jazba unazo ww kamanda na inawezekana nilishakuuzia maji kipind cha kampen nashukuru kwa mchango wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua uliniuzia maji ya mvua komredi.Jazba unazo ww kamanda na inawezekana nilishakuuzia maji kipind cha kampen nashukuru kwa mchango wako
Kaiigize kenyaLengo la kubez upande wa jamaa ni gaid ni kutoenda kinyume na mamlaka kwa sabab nikiitoa tofaut na mtazamo huo haitopata kibal cha bodi
Ha ha ha ha nauzaga yale kandoro ya miamiaItakua uliniuzia maji ya mvua komredi.
Hatimaye nimempata mshirikiKwenye movies mimi niwe polisi niliye mpiga risasi Hamza
Sasa hapo ndo utaharibu, Kama lengo lako ni kufanya Movie ambayo angalau, narudia Tena angalau unaweza kukusogeza nje ya Tanzania, hiyo Movie isiingie kwenye Mambo ya Ugaidi....Kwa nin nikamatwe,haitoenda tofaut na mtazamo wa jamaa alikua gaid na kuwakumbusha vijana kuwa ugaid si mzur
Lengo nataka ibez kutokana na story ya kwel kumhusu huyo mwamba unadhan ugaid utakwepeka hapo???Sasa hapo ndo utaharibu, Kama lengo lako ni kufanya Movie ambayo angalau, narudia Tena angalau unaweza kukusogeza nje ya Tanzania, hiyo Movie isiingie kwenye Mambo ya Ugaidi....
Upo sahihi huwa haziuz lkn mabadiliko yanakuja baada ya kuchukua hatua na huwez yaona mafanikio mpaka ujilipue na kuhusu swala la viat huko sitopaacha nitaendelea napoKibongo kauze viatu tu.. True lifestory based movies huwa haziuzi
Km yapi labdaHio pesa fanya mambo mengine.
Wekeza kwenye viatu kakaKm yapi labda
Na kwa nin haunishaur namna nzur ya kunufaika ktk hii tasnia lkn unanitoa mazima au labda sio eneo lako hili???Wekeza kwenye viatu kaka
Kwa hii comment jua hutouza hata copy moja maana mtazamo wa WaTz wengi ni tofauti na wako, unless uuze ki propaganda tu.Kwa nin nikamatwe,haitoenda tofaut na mtazamo wa jamaa alikua gaid na kuwakumbusha vijana kuwa ugaid si mzur
Nafanya beauty photography na videography..Na kwa nin haunishaur namna nzur ya kunufaika ktk hii tasnia lkn unanitoa mazima au labda sio eneo lako hili???
Kuandaa hiyo documentary na kuitupia yutyubu kuna ulazima wa kupata kibal cha bodi???Kila la kheri, uchunguzi umeamua kuuanzia humu JF...
Documentary itapendeza zaidi...
Muigizaj kupiga picha za kiaskar polisi na kupiga picha ya nje ya jengo la kituo cha polisi kunahitaj kibal cha aina ganNafanya beauty photography na videography..
Kwa idea yako na siasa za bongo hutoboi,wewe unataka kufanya kitu serikali inataka na sio jamii inataka nini.
Serikali inamwona hamza kama Gaidi
Na jamii inamwona hamza kama shujaa.
Ukifanya mwisho hamza akiwa shujaa bodi haitapitisha hiyo kazi yako na utakua umetupa pesa.
Na ukifanya jinsi serikali unavyotaka sidhani kama utapata watazamaji wa hiyo filamu yako,labda uwauzie unao wafurahisha.
Hope utanielewa japo sio mwandishi mzuri.
Anyway chaguo ni lako,za kuambiwa changanya na zako.