Ni pisi kali huyo mamkwe?Swali kwa wanaume tu Unaweza kufanya kazi-kuajiriwa ukweni kwenu?as in ma mkwe anaye kampuni na akuajiri? Ntasoma comments, mama mkwe ananichanganya hapa
Mwanakulifind mwanakuliget songa mbeleNashindwa kuelewa kwanini hadi Leo nashindwa kumove on!!! Nilikuwa na mpenzi tuliachana lakini nimekuwa nikimbembeleza turudiane turudiane kisa tu mtoto.lakini amenithibitishia kwa sasa anaishi na mwanamke lakini roho yangu inamng ang ania tu ety kisa mtoto nakataa wanaume kisa yeye,lakini yeye anaishi na mwanamke lakini
Jipe muda ndugu yangu..nilikuwa kama wewe miaka kadhaa iliyopita ulimpenda sana huyo masta.Nashindwa kuelewa kwanini hadi Leo nashindwa kumove on!!! Nilikuwa na mpenzi tuliachana lakini nimekuwa nikimbembeleza turudiane turudiane kisa tu mtoto.lakini amenithibitishia kwa sasa anaishi na mwanamke lakini roho yangu inamng ang ania tu ety kisa mtoto nakataa wanaume kisa yeye,lakini yeye anaishi na mwanamke
Nina hali Kama yako njoo tupitie haya magum tukiwa wote
Kama moyo wako unaamini niwako usiogope anaweza kurudi tu ila uwenauhakika haukuwa nakero sanaNashindwa kuelewa kwanini hadi Leo nashindwa kumove on!!! Nilikuwa na mpenzi tuliachana lakini nimekuwa nikimbembeleza turudiane turudiane kisa tu mtoto.lakini amenithibitishia kwa sasa anaishi na mwanamke lakini roho yangu inamng ang ania tu ety kisa mtoto nakataa wanaume kisa yeye,lakini yeye anaishi na mwanamke lakini mi nipo busy kukataa wanaume ivi kwanini sina maamuzi? Sipati majibu nabaki kumng ang ania mtu ambaye amemove on na sometime kumtumia watu wanaonitongoza ambao nawakataa wenye vigezo zaidi yake nikionesha upendo wangu kwake juu ya familia yetu lakini wapi mwezangu yupo kwenye msimamo ule ule akidai kwa sasa haiwezekani ana mwanamke mwingine.namwambia kwanini ataki kurudiana na Mimi anadai kuwa ameshakosea hawezi kurudiana na Mimi though still ananipenda ila ilo kosa ndo linafanya asibadili mawazo yake kosa gani nimsamehe hataki kusema.