Natamani Kuona CCM Ikipasuka Kwa Mkutadha na Masilahi Mapana ya Tanzania

Mkara-tu

JF-Expert Member
Mar 31, 2018
224
221
Wakati ninaishi ughaibuni miaka kadhaa iliypiota, jirani yangu kutoka Kenya alinisimulia hali iliyokuwepo kisiasa nchini Kenya baada ya utawala wa Rais Moi na serikali yake kupitia chama cha KANU. Alinieleza hasira zilizokuwa kwenye mioyo ya wananchi kutokana na ufisadi wa viongozi wa serikali na chama cha KANU kwamba wananchi walikuwa tayari kuchinja hata kuku mtaani aliyekuwa na jina au harufu ya uhusiano na jina la KANU. Wakati huo, niliona hilo haliwezekani kwa chama cha TANU/CCM ya Tanzania. Kwa sasa hivi nina maoni tofauti. Nikifuatilia maoni ya watu kwenye mitandao ya kijamii kufuatia clips za video za viongozi wastaafu na ndugu/jamaa zao naona ni muda muafaka chama hiki, the Grand Old Party ya Mwl. Nyerere ipasuke vipande kutoa nafasi mawazo mapya ndani ya chama chenyewe, upinzani na taifa kwa ujumla, kama ilivyopasuka KANU ya Mzee Jomo Kenyatta na Arap Moi. Natamani ipatikane CCM mpya kwa jina jipya inayoendeleza mawazo ya Mwl. Nyerere ikiongozwa na Mh. J. M. Magufuli na wafuasi vijana kama akina Bashe, Msukuma, Molel, Bashiru na wengine wote wenye mwelekeo wa progressive agenda. Natamani akina Kinana/Makamba and Sons & Friends waendelee na lichama lao la Grand Old Party then tuone uungwaji mkono wa wananchi kama wanavyo amini akina Membe. Nafahamu Tanzania siyo Kenya, na kwa maana hiyo CCM mpya ya Magufuli (au jina lolote lile) si lazima iwe na mwelekeo wa KANU iliyozaa Jubilee ya Uhuru Kenyatta. Sasa ninaamini pasipo shaka maneno ya Mwl. Nyerere kuliko wakati mwingine wowote ule kwamba upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.
Note: Kama nimekukwaza kwa mtazamo wangu una uhuru wa kutoa povu bila matusi.
 
Wakati ninaishi ughaibuni miaka kadhaa iliypiota, jirani yangu kutoka Kenya alinisimulia hali iliyokuwepo kisiasa nchini Kenya baada ya utawala wa Rais Moi na serikali yake kupitia chama cha KANU. Alinieleza hasira zilizokuwa kwenye mioyo ya wananchi kutokana na ufisadi wa viongozi wa serikali na chama cha KANU kwamba wananchi walikuwa tayari kuchinja hata kuku mtaani aliyekuwa na jina au harufu ya uhusiano na jina la KANU. Wakati huo, niliona hilo haliwezekani kwa chama cha TANU/CCM ya Tanzania. Kwa sasa hivi nina maoni tofauti. Nikifuatilia maoni ya watu kwenye mitandao ya kijamii kufuatia clips za video za viongozi wastaafu na ndugu/jamaa zao naona ni muda muafaka chama hiki, the Grand Old Party ya Mwl. Nyerere ipasuke vipande kutoa nafasi mawazo mapya ndani ya chama chenyewe, upinzani na taifa kwa ujumla, kama ilivyopasuka KANU ya Mzee Jomo Kenyatta na Arap Moi. Natamani ipatikane CCM mpya kwa jina jipya inayoendeleza mawazo ya Mwl. Nyerere ikiongozwa na Mh. J. M. Magufuli na wafuasi vijana kama akina Bashe, Msukuma, Molel, Bashiru na wengine wote wenye mwelekeo wa progressive agenda. Natamani akina Kinana/Makamba and Sons & Friends waendelee na lichama lao la Grand Old Party then tuone uungwaji mkono wa wananchi kama wanavyo amini akina Membe. Nafahamu Tanzania siyo Kenya, na kwa maana hiyo CCM mpya ya Magufuli (au jina lolote lile) si lazima iwe na mwelekeo wa KANU iliyozaa Jubilee ya Uhuru Kenyatta. Sasa ninaamini pasipo shaka maneno ya Mwl. Nyerere kuliko wakati mwingine wowote ule kwamba upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.
Note: Kama nimekukwaza kwa mtazamo wangu una uhuru wa kutoa povu bila matusi.
You nailed it.....wengi tunatamani hiki kitokee...kuna watu walijimilikisha nchi yetu nzuri ya Tanzania na kutaka kuifanya ni mali yao.....Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kulinusuru Taifa hili na hilo janga..tutapenda kuiona CCM mpya itakayoongozwa na watanzania viongozi wazalendo.

Tusiache kumuombea Rais wetu Mh. J J P Magufuli mchana na usiku Mungu aendelee kumpa ujasiri wa kutokuangalia mtu usoni.

Wote tuseme Amina.
 
You nailed it.....wengi tunatamani hiki kitokee...kuna watu walijimilikisha nchi yetu nzuri ya Tanzania na kutaka kuifanya ni mali yao.....Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kulinusuru Taifa hili na hilo janga..tutapenda kuiona CCM mpya itakayoongozwa na watanzania viongozi wazalendo.

Tusiache kumuombea Rais wetu Mh. J J P Magufuli mchana na usiku Mungu aendelee kumpa ujasiri wa kutokuangalia mtu usoni.

Wote tuseme Amina.
Amina kubwa..no more son of legends, equal opportunity.
 
Sasa hivi nchi inaongozwa na Dr Magufuli na siyo CCM. Watu walikula sana mpaka wakajisahahu. Sasa hivi angalau kodi inakusanywa na watu wanaogopa kuiba. Twende naye kazini. Hao wakina Membe na Makamba sidhani kama wangefanya kitu katika nchi yetu iliyokuwa imeharibika. Kila mwanadamu ana mapungufu yake na Dr Magufuli anayo ya kwake lakini tunamsamehe na tuendelee kumpongeza,
 
JPM anamapungufu yake ila kuna watu wanaona keki wanapewa kipande wakati walizoea self service, sijaona anayepambania maslahi ya waTz awe chama tawala au opposition,wote ni matumbo yao tu
 
Wakati ninaishi ughaibuni miaka kadhaa iliypiota, jirani yangu kutoka Kenya alinisimulia hali iliyokuwepo kisiasa nchini Kenya baada ya utawala wa Rais Moi na serikali yake kupitia chama cha KANU. Alinieleza hasira zilizokuwa kwenye mioyo ya wananchi kutokana na ufisadi wa viongozi wa serikali na chama cha KANU kwamba wananchi walikuwa tayari kuchinja hata kuku mtaani aliyekuwa na jina au harufu ya uhusiano na jina la KANU. Wakati huo, niliona hilo haliwezekani kwa chama cha TANU/CCM ya Tanzania. Kwa sasa hivi nina maoni tofauti. Nikifuatilia maoni ya watu kwenye mitandao ya kijamii kufuatia clips za video za viongozi wastaafu na ndugu/jamaa zao naona ni muda muafaka chama hiki, the Grand Old Party ya Mwl. Nyerere ipasuke vipande kutoa nafasi mawazo mapya ndani ya chama chenyewe, upinzani na taifa kwa ujumla, kama ilivyopasuka KANU ya Mzee Jomo Kenyatta na Arap Moi. Natamani ipatikane CCM mpya kwa jina jipya inayoendeleza mawazo ya Mwl. Nyerere ikiongozwa na Mh. J. M. Magufuli na wafuasi vijana kama akina Bashe, Msukuma, Molel, Bashiru na wengine wote wenye mwelekeo wa progressive agenda. Natamani akina Kinana/Makamba and Sons & Friends waendelee na lichama lao la Grand Old Party then tuone uungwaji mkono wa wananchi kama wanavyo amini akina Membe. Nafahamu Tanzania siyo Kenya, na kwa maana hiyo CCM mpya ya Magufuli (au jina lolote lile) si lazima iwe na mwelekeo wa KANU iliyozaa Jubilee ya Uhuru Kenyatta. Sasa ninaamini pasipo shaka maneno ya Mwl. Nyerere kuliko wakati mwingine wowote ule kwamba upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM.
Note: Kama nimekukwaza kwa mtazamo wangu una uhuru wa kutoa povu bila matusi.
Hatuitaki CCM ya zamani wala mpya.Ccm ya zamani ilifisadi sana nchi.CCM ya sasa inafisadi na kuua,kuteka RAIA. Tunataka chama mbadala kiendeshe nchi
 
Sometime mnachekesha waTanzania kwa mawazo mgando..yaani mnaona utawala huu ni wa mfano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom