Natamani kuoa, ila mambo haya ndo yananikwamisha

Namba nne,matatizo ya Dunia huwezi kuyamaliza,yalikuwepo,yapo,na yataendelea kuwepo kwa miaka zaidi ya 1000 ijayo.Huna Cha kufanya,tafuta pesa,jijenge,leta mtoto apate huduma nzuri.Life Haina garantii,unaweza ukawa na pesa kama Bkheresa,ukapata mtoto,akizaliwa tu,unafirisika,na unapoteza kila kitu,fikiria Lumumba wa Congo wakati anaenda kuuwawa,watoto wake walikuwa Bado wadogo chini ya miaka 5,aliwaza vipi kuhusu maisha yao!?
Mandela je?jera miaka 27!!
Life is all about taking risk,thats what makes it worth living.
Namba moja,kuhusu Kupata mdada atakae kupenda kutoka moyoni bila kuangalia una nini!!!hapo utakuwa huwatendei haki wakina dada,Upendo wa ndani sio tukio,ni mchakato,
It's not an event it's a process,mtu amuki asubuhi akakupenda kutoka moyoni!!inachukua muda kujenga hicho kitu,hata huyo unayemuona anapenda pesa,ukimpa nafasi,na kumuonyesha mapenzi yako,utashangaa,na usijidangsnye,kwa maisha ya sasa,ndoa ni makubaliano tu,hakuna aliye tayari kufa kwa ajiri ya mwenzie,
Njoo na mapenzi weka mezani,mwenzako ataona tu,naye atatoa yake.
Kabla hujachukua uamuzi wa kuoa,
OMBA MUNGU SANA.
Angalizo"usipende kwa asilimia 100,penda lakini uwe tayari kuachia,just in case,human are unpredictable!!
Bila hivyo,mdogo wangu utakufa kwa stress.usitafute furaha ndani ya mwanadamu,ukiacha watoto wako tu.
#Umempatia mawazo yenye busara sana, sasa ashindwe yeye tu.
 
Back
Top Bottom