akatanyukuile
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 314
- 308
Mnamshambulia bure mtoa mada, nikweli mke awapo mjamzito hubadilika tabia na hii hali huisha pale tu anapojifunhua. Ia kuna baadh tu ya wanawake hutumia mimba kama kichaka cha kujificha ili tu wawakomoe wame zao, na unakuta mke anapiga stor na mashoga zake at ngoja aje nitamuonesha hivo ukimgundua mke wa hivo yakua anazidisha mbwembwe za mimba umfanyeje sasa