Dr Slaa alisema kumkaribisha Lowassa Ukawa ni sawa na kuchukua "kinyesi" ukapeleka chumbani! Bila shaka pamoja na hasira za kukosa urais alitaka kuwaaminisha watanzania jinsi gani anauchukia ufisadi. Lakini akasema ukiwapima Lowassa na Magufuli kwa kuwaangalia usoni utagundua Magufuli ndiye mwenye nia ya dhati ya kupinga ufisadi.
Leo baada ya Magufuli kuwarudisha watu wenye tuhuma za ufisadi sijui atatwambia ni sawa na kuchukua kitu gani kukipeleka chumbani.Katibu wangu mkuu wa zamani amekuwa akiongelea mambo yanayoendelea nchini basi na yeye aongee kitu basi. Lipumba tumemsikia, tunakusubiri wewe baba
Leo baada ya Magufuli kuwarudisha watu wenye tuhuma za ufisadi sijui atatwambia ni sawa na kuchukua kitu gani kukipeleka chumbani.Katibu wangu mkuu wa zamani amekuwa akiongelea mambo yanayoendelea nchini basi na yeye aongee kitu basi. Lipumba tumemsikia, tunakusubiri wewe baba