ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,086
- 42,876
Watanzania wengi hasa sisi wana ccm chama kinachotuunganisha Watanzania, ambao hatusahau Mambo kirahisi rahisi Bado tunatamani kujua Ni kwa kiasi gani ccm ilikuwa imejaa mafisadi hadi kufikia kukamatwa na maburungutu ya hela pale dodoma kipindi tunapata mgombea urais kamanda Magufuli.Hatujui tena ile kesi(sakata) iliishia wapi.
Baada ya Kupewa uenyekiti nilitegemea Rais angehakikisha vyombo vyetu vya usalama vifanyie kazi ishu ile ili uwatumbue wahusika tena kwa kuwataja hadharani.
Ccm kuvunja miiko ya uongozi ilikuwa ni kosa kubwa. Tumeshukuru tumempata bashiru ipo siku ataliweka wazi hili. Tumekisamehe chama na tunakuombea uzidi ku deal na hawa waliotufikisha hapa.
Nafarijika kwa kuwa uchaguzi ujao hakutakuwa na vitendo vya rushwa hata kidogo.
Baada ya Kupewa uenyekiti nilitegemea Rais angehakikisha vyombo vyetu vya usalama vifanyie kazi ishu ile ili uwatumbue wahusika tena kwa kuwataja hadharani.
Ccm kuvunja miiko ya uongozi ilikuwa ni kosa kubwa. Tumeshukuru tumempata bashiru ipo siku ataliweka wazi hili. Tumekisamehe chama na tunakuombea uzidi ku deal na hawa waliotufikisha hapa.
Nafarijika kwa kuwa uchaguzi ujao hakutakuwa na vitendo vya rushwa hata kidogo.