Leo jion Umeme ulikatika na baada ya kurudi ulikuwa mwingi kiasi cha kuunguza vitu vyangu ambavyo ni TV 32", Decoder mbili AZAMTV na DSTV, HOMETHEATER LG WAT 100, CHARGER moja, Extention Mbili pamoja na taa mbili...
Nataman kujua ni namna gani naweza rudishiwa uharibifu hii na TANESCO??
Naomba Kuwasilisha
Nataman kujua ni namna gani naweza rudishiwa uharibifu hii na TANESCO??
Naomba Kuwasilisha