KIKWETE:-
"Lissu anataka nimtaje mhusika wa
Richmond wakati mwenye
Richmond yupo na anatembea
naye mikoani"
MSUKUMA (MB):
"Yule mgombea wao juzi kajinyea"
NAPPE (MB)
"Lile ni jizi, na kazi yetu ilikuwa moja tu, kulikatllia mbali. Hatuwezi kuiacha gesi yetu mikononi mwa mtu mwizi"
MAKONDA:
"Yule mtu nilimpinga kwa nguvu zote toka nikiwa UVCCM, Hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa. na leo angekuwa Raisi nadhani ningekuwa ndani"
MAGUFULI:-
"Tutaanzisha mahakama ya mafisadi, Mafisadi lazima yafungwe na mengine yameshakimbilia upinzani tayari"
Siasa Sihasa!
"Lissu anataka nimtaje mhusika wa
Richmond wakati mwenye
Richmond yupo na anatembea
naye mikoani"
MSUKUMA (MB):
"Yule mgombea wao juzi kajinyea"
NAPPE (MB)
"Lile ni jizi, na kazi yetu ilikuwa moja tu, kulikatllia mbali. Hatuwezi kuiacha gesi yetu mikononi mwa mtu mwizi"
MAKONDA:
"Yule mtu nilimpinga kwa nguvu zote toka nikiwa UVCCM, Hafai hata kuwa mwenyekiti wa mtaa. na leo angekuwa Raisi nadhani ningekuwa ndani"
MAGUFULI:-
"Tutaanzisha mahakama ya mafisadi, Mafisadi lazima yafungwe na mengine yameshakimbilia upinzani tayari"
Siasa Sihasa!