Hiki ndicho nilichoamua mkuu....imani ikitoweka hata ukirudi haiwezi kurudi....ni muda wa kusonga mbeleMe nakushauri usirudi nyuma kwa maana hutopendwa tena kama mwanzo hata ukirudiana nae yeyote kati yao, ukitaka kuwasahau ni rahisi sana kama utaamua kuwafikiria wengine.