Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,390
- 21,079
Huyu jamaa angekuwa rais wa Tanzania nafikiri mambo mengi yangekuwa mazuri.
We vuta picha ametoa bil 9 na ushee kama rambi rambi kutoka mfukoni kwake sasa sidhani angekuwa rais wa Tanzania kama angeshindwa kumudu vitu vidogo kama vile mikopo kwa wanachuo.
Vile vile tungeepuka aibu ya mkuu wa nchi kushutumiwa kula pesa ya maafa kama vile mtu fulani alivyokula pesa ya watu wa Kagera.
We vuta picha ametoa bil 9 na ushee kama rambi rambi kutoka mfukoni kwake sasa sidhani angekuwa rais wa Tanzania kama angeshindwa kumudu vitu vidogo kama vile mikopo kwa wanachuo.
Vile vile tungeepuka aibu ya mkuu wa nchi kushutumiwa kula pesa ya maafa kama vile mtu fulani alivyokula pesa ya watu wa Kagera.