TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Kuna maneno au pang'ang'a humu jamvini yanayotolewa dhidi ya kinywaji cha gongo.Kule kenya kinywaji hiki kinaitwa CHANG'AA na kinalipia kodi na hivyo kuliongezea pato taifa la Kenya.SERIKALI YOYOTE ISIYO NA UWEZO WA KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO NA UDHIBITI WA BIASHARA HATARISHI KWA JAMII ITAENDESHWA KWA SHURTI.Hivyo kutokana na maneno au pang'ang'a za maccm nadhani ni vema ccm itamke rasmi kuzikata kura za watumia GONGO NCHINI kama kweli wana ubavu.TATIZO LA CCM NI UNAFIKI KWANI WAPO VIONGOZI,WANACHAMA NA WAPENZI WA CCM WANAOTUMIA CHANG'A.SASA INAKUWAJE LEO MACCM MUIITE CHADEMA CHAMA CHA GONGO?DR SLAA MZEE WA GONGO?ENYI MACCM TAMBUENI KUWA CHADEMA TUNATAMBUA HAKI YA KILA KUNDI KATIKA JAMII,KILA KUNDI LINA HAKI YA KUTENGENEZEWA MAZINGIRA STAHIKI YA KUISHI.KIWANGO CHA GONGO CHA SASA HAKINA VIWANGO,DOLA CHINI YA CHADEMA ITAWASAIDIA WAANDAAJI WA GONGO ILI WAFANYE BIASHARA YA UHAKIKA PAMOJA NA WAO KULIPA KODI kama wenzao wa Kenya.TAIFA HILI NI LETU SOTE,NA ANAE KUDHARAU LEO SIKU MOJA ATAKUSALIMIA KWA HESHIMA.