PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
nimeona jinsi wabunge walivyokuwa wanapata shida kujieleza walipokuwa wanagomembea uwakilishi wa SADEC nimecheka kupita kiasi kwa watu walikuwa wanatumia nguvu kupita kiasi ili waweze jielezea..........
Walishindwa kabisa kusema nini watakachokifanyia tz huko sadec zaidi watu wanataja tuu vyeti vyao feki.....embu jaribu kuicheki kwenye youtube hii hapa, Wagombea wa uwakilishi SADC
Walishindwa kabisa kusema nini watakachokifanyia tz huko sadec zaidi watu wanataja tuu vyeti vyao feki.....embu jaribu kuicheki kwenye youtube hii hapa, Wagombea wa uwakilishi SADC