The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Hua napenda kuona wanawake waliofanikiwa wakipambana sio kwa kutumia maumbile yao au miili yao bali akili zao.
Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu ambapo wanawake wengi hawataki kujishughulisha wala kushughulisha akili zao bali hutaka kushughjlisha miili yao ili wafanikiwe, hili sio kwa hao niliowataja hapo juu.
Hao wanawake wameonyesha kwa vitendo kua kila kitu kinawezekana, hawaogopi na wala hawateteleki. Bulaya alimpiga chini waziri na kiongozi wa muda mrefu toka Nyerere, ndugu Wasira tena akiwa waziri, hakujali uwaziri wa Wasira wala mwili wake mkubwa, yeye alienda kupambana nae na akamshinda mchana kweupe jua limewaka, wasira akakimbilia mahakamani bado E. Bulaya akambwaga.
Sipendi kuona wanawake wanategemea kubebwa, tena wengine wana hadi phd kama caster seemenya wa Mbeya, walikuwepo kina Migiro nk.
Ester Matiko alikua mwalimu UDSM, hakujali kua yeye ni mwanamke na wala hakujali ajira ya kudumu(kama wanavyoita waajiriwa wa serikali-security) bado akaamua kuachana na security akaenda kupambana. Halima mdee alimpiga chini msomi na mwanasiasa mkongwe nchini bwana Mbatia mchana kweupe.
Napenda nikija kupata binti ajifunze kupambana na kutegemea akili yake na sio mwili au makalio yake kufanikiwa, napemda sana courage na hao wanawake, those girls have got balls. Bila kujali mazingira magumu ya upinzani hapa Tanzania ila wanapambana, jana wanapelekwa gerezani ila bado unaona mioyo yao haijakata tamaa. Wabarikiwe sana wanaume wa hawa wanawake.
Update ya leo Tarehe 26.12.2020.
Kuanzia leo nimefuta huu ujumbe wangu dhidi ya hawa wanawake, Esta Matiko, Bulaya na Mdee.
Mwanangu bora ajifunze kutoka kwa Amba Ruti ila sio hawa wanawake.
Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu ambapo wanawake wengi hawataki kujishughulisha wala kushughulisha akili zao bali hutaka kushughjlisha miili yao ili wafanikiwe, hili sio kwa hao niliowataja hapo juu.
Hao wanawake wameonyesha kwa vitendo kua kila kitu kinawezekana, hawaogopi na wala hawateteleki. Bulaya alimpiga chini waziri na kiongozi wa muda mrefu toka Nyerere, ndugu Wasira tena akiwa waziri, hakujali uwaziri wa Wasira wala mwili wake mkubwa, yeye alienda kupambana nae na akamshinda mchana kweupe jua limewaka, wasira akakimbilia mahakamani bado E. Bulaya akambwaga.
Sipendi kuona wanawake wanategemea kubebwa, tena wengine wana hadi phd kama caster seemenya wa Mbeya, walikuwepo kina Migiro nk.
Ester Matiko alikua mwalimu UDSM, hakujali kua yeye ni mwanamke na wala hakujali ajira ya kudumu(kama wanavyoita waajiriwa wa serikali-security) bado akaamua kuachana na security akaenda kupambana. Halima mdee alimpiga chini msomi na mwanasiasa mkongwe nchini bwana Mbatia mchana kweupe.
Napenda nikija kupata binti ajifunze kupambana na kutegemea akili yake na sio mwili au makalio yake kufanikiwa, napemda sana courage na hao wanawake, those girls have got balls. Bila kujali mazingira magumu ya upinzani hapa Tanzania ila wanapambana, jana wanapelekwa gerezani ila bado unaona mioyo yao haijakata tamaa. Wabarikiwe sana wanaume wa hawa wanawake.
Update ya leo Tarehe 26.12.2020.
Kuanzia leo nimefuta huu ujumbe wangu dhidi ya hawa wanawake, Esta Matiko, Bulaya na Mdee.
Mwanangu bora ajifunze kutoka kwa Amba Ruti ila sio hawa wanawake.