miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
Njo Pm ntakupa taratibu zote mpaka utafurah mwenyewe mambo ni simple sana Mimi mwenyewe ni mchaga nimelipiwa mahari juzi na mtu wa kusini na Pete tumevalishana, nimeguswa sana kukusaidia kiushauri kuhusu hili swala lako
Kwa wale waliovuka hii stage, naomba uzoefu wenu wa namna ambavyo natakiwa kufanya ili nikajitambulishe Kwa mke wangu tarajiwa Moshi, kufupisha story ni kwamba huyu binti ni mjamzito sasa, wazazi wake wananikomalia niende wakamfahamu baba wa mtoto ambaye ni mimi.
Nimeukwepa sana huu mtego lakini nimeona tu nikaitikie wito, Naombeni mnipe mbinu,bajeti, na yanayojiri kule ili nisiwakwaze.