Good experience mkuu,ngoja nione picha linaendajeNaomba nizungumze kulingana na uzoefu nilioupata coz mimi nimeoa huko huko uchagani lkn kwa sasa ndoa hakuna tena na niliamua kwenda kuoa nyumbn kijijini....iko hivi mtafute mchaga mwenzao awe mshenga wako na hakikisha anajua kuongea vizuri asiwe muoga
Pili hakikisha wakati unafanya maandalizi hayo uwe tyr umeshayasoma mazingira ya hao wakwe zako ili mjue mnaingia vipi siku iyo maana wachaga kwa shughuli ndio zao
Tatu unatakiwa kufahamu wachaga kitendo cha kumuozesha mtoto wao hupenda kufanya shughuli ingawaje gharama za iyo shughuli ni zao lkn na wao kupitia iyo shughuli watataka pesa yao ya kumkuza uyo mtoto iweze kurudi kwa kiasi flani
Nne na la mwisho japo si kwa umuhimu kumbuka hapo si kwenda kutoa barua tu wanategemea unaenda kutoa na mahali kabisa sasa hapa mzee jipange coz huwa inategemea na familia yao mimi niliambiwa mahali milioni tatu cash na kama anamimba ujue kuna faini pia unatakiwa uwende na creti la bia moja pamoja na la soda moja na pia huwa wanakuwa na faini za kishamba kwa mfano mkichelewa kwa tukio faini maana yake hapo ela na kuna mafaini kutoka kwa makaka zake na faini za kumpa ujauzito kabla ya ndoa.
Nb;Wachaga wanapenda sana baada ya mahali mfunge ndoaaaaaaaaaaa kabisa hapo ndipo niliposhindwa mimi na kuamua kughairi lkn mahali nilishatoa
Asante sanaUsiogope au kusikiliza wanaokukatisha tamaa
Nenda na gunia la hela kesi itaishaKwa wale waliovuka hii stage, naomba uzoefu wenu wa namna ambavyo natakiwa kufanya ili nikajitambulishe Kwa mke wangu tarajiwa Moshi, kufupisha story ni kwamba huyu binti ni mjamzito sasa, wazazi wake wananikomalia niende wakamfahamu baba wa mtoto ambaye ni mimi.
Nimeukwepa sana huu mtego lakini nimeona tu nikaitikie wito, Naombeni mnipe mbinu,bajeti, na yanayojiri kule ili nisiwakwaze.
Nb;Wachaga wanapenda sana baada ya mahali mfunge ndoaaaaaaaaaaa kabisa hapo ndipo niliposhindwa mimi na kuamua kughairi lkn mahali nilishatoa
Kwa wale waliovuka hii stage, naomba uzoefu wenu wa namna ambavyo natakiwa kufanya ili nikajitambulishe Kwa mke wangu tarajiwa Moshi, kufupisha story ni kwamba huyu binti ni mjamzito sasa, wazazi wake wananikomalia niende wakamfahamu baba wa mtoto ambaye ni mimi.
Nimeukwepa sana huu mtego lakini nimeona tu nikaitikie wito, Naombeni mnipe mbinu,bajeti, na yanayojiri kule ili nisiwakwaze.
Asante naona umebariki uzi najiskia faraja madamWewe hukutaka kufunga ndoa au ilikuwaje?
Hizo pesa sina mkuuAndaa 6 millioni
Madumu ya Pombe
Mbuzi Choma
Ndizi
Mwisho wa mchezo.
Jamani, kwa nini?
Nimefarijika tu kwa kuona ujumbe wako katika uzi huu, hakika ni ilikuwa ni ndoto yangu ya muda mrefu kuona ushiriki wako katika moja ya hoja zangu madamJamani, kwa nini?
Jamani; usijali kabisa. Tutashiriki pamoja zaidi huko mbeleniNimefarijika tu kwa kuona ujumbe wako katika uzi huu, hakika ni ilikuwa ni ndoto yangu ya muda mrefu kuona ushiriki wako katika moja ya hoja zangu madam
Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
Amen! MadamJamani; usijali kabisa. Tutashiriki pamoja zaidi huko mbeleni
Shukrani mkuu wazo jema sana hiloKama issue ya kujitambulisha tu haina shida, wewe watumie hela Kama 400,000 wapate chakula na pombe yao, nenda na akiba kidogo Kama 200,000 incase kukajitokeza Mambo machache ya kiutaratibu mfano kumpa mimba binti yao bila kufuata utaratibu huewnda wazee wakataka kitu kidogo nk, hapo pi watakuuliza Mambo kadhaa Kama vile unampango wa kufunga ndoa lini lini na mahari lini, Ni vema ukampata shikaji ambaye ni mchanga na anajua utaratibu wa kichaga ukaambata naye siku hiyo.
Na Kama kifedha uko vizuri ungeunganisha utambulisho na mahari iwe siku moja.
Karibu Shemeji
Huwezi ukaita taratibu na mila zetu za kishamba. Jitafakari mkuu. Na kama ni ndoa kwanini uliamua kumuacha? Haukua unampenda? Si kuna hata zile ndoa za mkesha kama huna hela ya sherehe jamani. Roho si inakuuma sana? Umawezaje mwachia mtu unayempenda hv jaman. Ama tabia mulishindwana?Naomba nizungumze kulingana na uzoefu nilioupata coz mimi nimeoa huko huko uchagani lkn kwa sasa ndoa hakuna tena na niliamua kwenda kuoa nyumbn kijijini....iko hivi mtafute mchaga mwenzao awe mshenga wako na hakikisha anajua kuongea vizuri asiwe muoga
Pili hakikisha wakati unafanya maandalizi hayo uwe tyr umeshayasoma mazingira ya hao wakwe zako ili mjue mnaingia vipi siku iyo maana wachaga kwa shughuli ndio zao
Tatu unatakiwa kufahamu wachaga kitendo cha kumuozesha mtoto wao hupenda kufanya shughuli ingawaje gharama za iyo shughuli ni zao lkn na wao kupitia iyo shughuli watataka pesa yao ya kumkuza uyo mtoto iweze kurudi kwa kiasi flani
Nne na la mwisho japo si kwa umuhimu kumbuka hapo si kwenda kutoa barua tu wanategemea unaenda kutoa na mahali kabisa sasa hapa mzee jipange coz huwa inategemea na familia yao mimi niliambiwa mahali milioni tatu cash na kama anamimba ujue kuna faini pia unatakiwa uwende na creti la bia moja pamoja na la soda moja na pia huwa wanakuwa na faini za kishamba kwa mfano mkichelewa kwa tukio faini maana yake hapo ela na kuna mafaini kutoka kwa makaka zake na faini za kumpa ujauzito kabla ya ndoa.
Nb;Wachaga wanapenda sana baada ya mahali mfunge ndoaaaaaaaaaaa kabisa hapo ndipo niliposhindwa mimi na kuamua kughairi lkn mahali nilishatoa