Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Nini kingetokea iwapo kingesikilizwa kilio cha "Nataka Pesa Zangu Zote wakati wa kustaafu"?
Karibu tukokotoe.
Tukubaliane *dhana* za awali:
*Fungu A.*
Mshahara kwa mwezi wakati wa kustaafu: 1,000,000 TZS
Mshahara kwa mwezi muda wote wa utumishi: 1,000,000 TZS
Muda wa utumishi: Miaka 20 (miezi 240).
Mtumishi atastaafu kwa lazima.
Mtumishi hataishi kupokea pensheni ya kila mwezi hata ya mwezi mmoja.
*ZINGATIA*; katika hali halisi wengi huanza na mishahara midogo na hupata mishahara iliyoongezeka mwishoni kuliko mwanzoni.
Zingatia pia watumishi wengi hawafariki siku ya kustaafu.
Makato: (i) Asilimia tano kwa mwezi (5%)
(ii) Asilimia kumi kwa mwezi (10%).
*Fungu B.*
Mshahara kwa mwezi wakati wa kustaafu: 1,000,000 TZS
Mshahara kwa mwezi muda wote wa utumishi:
Miaka mitano ya kwanza: 400,000 TZS
Miaka mitano ya pili: 600,000 TZS
Miaka mitano ya tatu: 780,000 TZS
Miaka mitano ya mwisho: 1,000,000 TZS
Muda wa utumishi: Miaka 20 (miezi 240).
Makato: (i) Asilimia tano kwa mwezi (5%)
(ii) Asilimia kumi kwa mwezi (10%).
Mtumishi atastaafu kwa lazima.
Mtumishi hataishi kupokea pensheni ya kila mwezi hata ya mwezi mmoja.
*MATOKEO:*
*FUNGU A*
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 5%) 12,000,000.00 TZS
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 10%) 24,000,000.00 TZS
Hizo ndio pesa *ZAKO* ulizoziweka kwenye mfuko wa pensheni. Bila kujumuisha michango ya *MWAJIRI*.
Pensheni ya Jumla: 62,068,965.52 TZS
Kiinua Mgongo siku ya kustaafu: 15,517,241.38 TZS
Pensheni ya kila mwezi: 310,344.83 TZS
Pensheni ya Kila Mwezi kwa miaka mitatu: 11,172,413.88 TZS
Jumla ya Malipo toka kwa Mfuko: 26,689,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (5%) = 14,689,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (10%) = 2,689,655.26 TZS
*TAFSIRI RAHISI*
Kwa utaratibu ulioko sasa,
Wenye makato 5%, kwa Mshahara wa 1,000,000 toka kuajiriwa kwa miaka ishirini;
Unalipwa kiinua mgongo 3,517,241.38 TZS *ZAIDI* ya michango uliyotoa.
Ukiongezea na pensheni ya miaka 3 watakayolipwa warithi: atakuwa amepokea 14,689,655.26 TZS *ZAIDI* ya michango yake aliyotoa.
*FUNGU B*
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 5%) 8,340,000.00 TZS
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 10%) 16,680,000.00 TZS
Hizo ndio pesa *ZAKO* ulizoziweka kwenye mfuko wa pensheni. Bila kujumuisha michango ya *MWAJIRI*.
Pensheni ya Jumla: 62,068,965.52 TZS
Kiinua Mgongo siku ya kustaafu: 15,517,241.38 TZS
Pensheni ya kila mwezi: 310,344.83 TZS
Pensheni ya Kila Mwezi kwa miaka mitatu: 11,172,413.88 TZS
Jumla ya Malipo toka kwa Mfuko: 26,689,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (5%) = 18,349,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (10%) = 10,009,655.26 TZS
*SOMO*
Endapo kilio cha "nilipwe *HELA ZANGU NILIZOCHANGIA!1!*" kitasikilizwa, Mtumishi atapokea kiinua mgongo kidogo kuliko anachopokea sasa hivi.
*"Be very careful what you wish for, because you might very well get it"*. ~ Msemo wa Bazungu.
*HINT:* Pakiwa na makosa ya ukokotoaji popote hapo, nijuze.
Karibu tukokotoe.
Tukubaliane *dhana* za awali:
*Fungu A.*
Mshahara kwa mwezi wakati wa kustaafu: 1,000,000 TZS
Mshahara kwa mwezi muda wote wa utumishi: 1,000,000 TZS
Muda wa utumishi: Miaka 20 (miezi 240).
Mtumishi atastaafu kwa lazima.
Mtumishi hataishi kupokea pensheni ya kila mwezi hata ya mwezi mmoja.
*ZINGATIA*; katika hali halisi wengi huanza na mishahara midogo na hupata mishahara iliyoongezeka mwishoni kuliko mwanzoni.
Zingatia pia watumishi wengi hawafariki siku ya kustaafu.
Makato: (i) Asilimia tano kwa mwezi (5%)
(ii) Asilimia kumi kwa mwezi (10%).
*Fungu B.*
Mshahara kwa mwezi wakati wa kustaafu: 1,000,000 TZS
Mshahara kwa mwezi muda wote wa utumishi:
Miaka mitano ya kwanza: 400,000 TZS
Miaka mitano ya pili: 600,000 TZS
Miaka mitano ya tatu: 780,000 TZS
Miaka mitano ya mwisho: 1,000,000 TZS
Muda wa utumishi: Miaka 20 (miezi 240).
Makato: (i) Asilimia tano kwa mwezi (5%)
(ii) Asilimia kumi kwa mwezi (10%).
Mtumishi atastaafu kwa lazima.
Mtumishi hataishi kupokea pensheni ya kila mwezi hata ya mwezi mmoja.
*MATOKEO:*
*FUNGU A*
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 5%) 12,000,000.00 TZS
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 10%) 24,000,000.00 TZS
Hizo ndio pesa *ZAKO* ulizoziweka kwenye mfuko wa pensheni. Bila kujumuisha michango ya *MWAJIRI*.
Pensheni ya Jumla: 62,068,965.52 TZS
Kiinua Mgongo siku ya kustaafu: 15,517,241.38 TZS
Pensheni ya kila mwezi: 310,344.83 TZS
Pensheni ya Kila Mwezi kwa miaka mitatu: 11,172,413.88 TZS
Jumla ya Malipo toka kwa Mfuko: 26,689,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (5%) = 14,689,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (10%) = 2,689,655.26 TZS
*TAFSIRI RAHISI*
Kwa utaratibu ulioko sasa,
Wenye makato 5%, kwa Mshahara wa 1,000,000 toka kuajiriwa kwa miaka ishirini;
Unalipwa kiinua mgongo 3,517,241.38 TZS *ZAIDI* ya michango uliyotoa.
Ukiongezea na pensheni ya miaka 3 watakayolipwa warithi: atakuwa amepokea 14,689,655.26 TZS *ZAIDI* ya michango yake aliyotoa.
*FUNGU B*
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 5%) 8,340,000.00 TZS
Jumla ya Akiba (Michango yako makato 10%) 16,680,000.00 TZS
Hizo ndio pesa *ZAKO* ulizoziweka kwenye mfuko wa pensheni. Bila kujumuisha michango ya *MWAJIRI*.
Pensheni ya Jumla: 62,068,965.52 TZS
Kiinua Mgongo siku ya kustaafu: 15,517,241.38 TZS
Pensheni ya kila mwezi: 310,344.83 TZS
Pensheni ya Kila Mwezi kwa miaka mitatu: 11,172,413.88 TZS
Jumla ya Malipo toka kwa Mfuko: 26,689,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (5%) = 18,349,655.26 TZS
Kiinua Mgongo + PensheniYaMiaka3 – Michango Yako (10%) = 10,009,655.26 TZS
*SOMO*
Endapo kilio cha "nilipwe *HELA ZANGU NILIZOCHANGIA!1!*" kitasikilizwa, Mtumishi atapokea kiinua mgongo kidogo kuliko anachopokea sasa hivi.
*"Be very careful what you wish for, because you might very well get it"*. ~ Msemo wa Bazungu.
*HINT:* Pakiwa na makosa ya ukokotoaji popote hapo, nijuze.