Hii nchi ilishauzwa zamani sana.Mliliki wake anaweza akawaambia wananchi ha,na maandamano,ukiandamana kwa ubishi lazima ulambe risasi na mabomu.Ukipiga kura lazima ichakachuliwe na mmiliki.Mmiliki hafi njaa hata siku moja ila aliyenunuliwa anakufa kwa umaskini.Ukishaona mwananchi hana usemi wowote juu ya nchi yake basi ujue nae ameshaninuliwa,akilalamoka anakula kichapo.Mmiliki anaweza kukuchapa risasi bila fidia