Kiite chama chako CHAKUJINYE..( CHAMA CHA KUMUENZI JIWE NA NYERERE)
Kazi kweri kweri.
Kiite chama chako CHAKUJINYE..( CHAMA CHA KUMUENZI JIWE NA NYERERE)
Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu ( wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Makao Makuu yatakuwa Chato au Bujumbura?Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu ( wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Katika kuamua jina la chama utakachounda, ni vizuri ukazingatia maneno ambayo marehemu walipendelea kuyasema, mfano chama cha wanyonge, chama cha mabeberu, chama cha uhujumu uchumi, chama cha majizi na wapiga diriii...kila la heri mkuu,Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu ( wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
chama cha wanyonge na wapiga dilii litapendeza saanaKatika kuamua jina la chama utakachounda, ni vizuri ukazingatia maneno ambayo marehemu walipendelea kuyasema, mfano chama cha wanyonge, chama cha mabeberu, chama cha uhujumu uchumi, chama cha majizi na wapiga diriii...kila la heri mkuu,
😂😂😂Burigi
Jiwe dictatorship party( JDP)Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.
Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
Hata hilo ni wazo hata kama halina mashiko.Baada ya kuona wanaodhihaki kazi nzuri aliyoifanya Hayati JP Maguli iliwemo miradi mikubwa ,kutufikisha uchumi wa kati ,kutatua shida za wanyonge waliyokuwa wamedhulumiwa haki zao,kupambana na rushwa nk nataka wazalendo tuunde chama ambacho misingi yake itakuwa ya uzalendo uliyoonyeshwa na Hayati Baba wa taifa JK Nyerere na Hayati JP Magufuli.
Chama hiki kitapamabana na CCM mafisadi wanaojaribu kuonyesha kuwa Hayati JP Magufuli hakufanya kitu (wanabweka baada ya Simba kufa) na upinzani uchwara uliyekosa ajenda na kudandia kushabikia kifo cha JPM.
Wazendo naomba jina la chama hicho kipya tafadhali.
"Naskia kelele hizoooooooooo, kuuliza kuna nini -mchungaji kafumaniwa!!"= Alisikika muimba singeri mmoja.
"Nireteeni Gwajima.... Nireteeni Gwajima... Msinichanganyie betri na magunzi, torch haitowaka" = Ilisikika sauti kutoka kuzimu.