figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Ni nani anamoderate chit chat? Nataka nimjue kabla sijatoa maamuzi magumu coz anavuruga akili za watu kinomoumer. Haiwezekani mtu aanzishe thread halafu uidelete kama unanawa vile tena bila taarifa. Unanikomoa kwani nmekuchukulia demu? kama demu kanipenda mwenyewe.Sasa nasema hivi, rudisha uzi wangu kabla moto haujakuwakia la sivyo umod wako upo rehani. Mia