Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,452
Wakuu kuna mada humu inaongelea juu ya music hasa wa nyumbani.
Basi kuna wadau wametiririka sana, nikaona wengi wametaja kampuni ya BOSE kuwa ndio the best home sound ever
Sasa na mie nataka nijibebee moja hii nmeikuta kwenye page ya Alibaba.
Ushauri wenu waku hasa kwenye ishu ya kama nikilipia mzigo wangu utanifikia salama kweli.
Basi kuna wadau wametiririka sana, nikaona wengi wametaja kampuni ya BOSE kuwa ndio the best home sound ever
Sasa na mie nataka nijibebee moja hii nmeikuta kwenye page ya Alibaba.
Ushauri wenu waku hasa kwenye ishu ya kama nikilipia mzigo wangu utanifikia salama kweli.