Nataka nijifunze basic electronics troubleshooting,testing and repair

ndugufred

Senior Member
Dec 30, 2011
137
44
Katika shule nilizopitia nimejifunza kidogo,najua vitu vidogo vidogo kama Capacitors,Diode, Transistor, Rectifier, Transformer etc.

Lakini kama mnavojua ni elimu tu ya kujibia mtihani. Ila ikitokeaga nikafungua ndani ya electronic device naonaga tu Marinjirinji.

Natamani sana kujua hizi vitu in detail, kama title inavojieleza. Nataka nijifunze seriously,mwenyewe tu kihome home. Nna mavitu kibao home ya kupractice mabovu nyumbani.

Msaada nnao hitaji ni kama ifuatavyo:
1. Content nnayotakiwa kucover na terminologies zainisaidie kugoogle.
2. Kama kuna vitabu,online au hardcopy,hata kama ni cha kununua
3. Kama kuna course online, YouTube ambazo zina kitu nnachokitaka na jinsi ya kuzipata

Lengo:
Niweze tu kuanalyze circuit na nikajua component gani ni mbovu,

Nawasilisha
 
Unataka kuwa mtu wa kufanya repair au kufanya designing ya equipments zako?
 
Kuna thyristors, Darlington trans, Opamp, IGFET, thermocouples, STR, Temp controller nk
 
Katika shule nilizopitia nimejifunza kidogo,najua vitu vidogo vidogo kama Capacitors,Diode, Transistor, Rectifier, Transformer etc.

Lakini kama mnavojua ni elimu tu ya kujibia mtihani. Ila ikitokeaga nikafungua ndani ya electronic device naonaga tu Marinjirinji.

Natamani sana kujua hizi vitu in detail, kama title inavojieleza. Nataka nijifunze seriously,mwenyewe tu kihome home. Nna mavitu kibao home ya kupractice mabovu nyumbani.
Msaada nnao hitaji ni kama ifuatavyo:
1.Content nnayotakiwa kucover na terminologies zainisaidie kugoogle.
2.Kama kuna vitabu,online au hardcopy,hata kama ni cha kununua
3.Kama kuna course online, YouTube ambazo zina kitu nnachokitaka na jinsi ya kuzipata
Lengo:
Niweze tu kuanalyze circuit na nikajua component gani ni mbovu,
Nawasilisha


Course/tutorials ziko za kutosha youtube.

Anza kwa kujifunza jinsi semiconductors zinavyofanya kazi na namna ya kupima kama ni nzima au mbovu. Hapa naongelea Diodes na transistors kwani hizi ndizo sehemu kubwa ua electronics.

Jifunze kuhusu aina za diode na transistors

Jifunze kuhusu matumizi ya kila aina ya transistor na diode.

Jifunze kuhusu Resistors, jinsi ya kusoma value ya resistor kwa kutumia color code zake.

Jifunze aina za resistor na matumizi yake.

Jifunze kuhusu capacitors na aina zake, matumizi yake na namna ya kupima kama ni nzima au mbovu.

Hizo ndio main components ambazo utakumbana nazo sana. Zingine utajifunza mdogo mdogo.

Jifunze kushika gun, na kuchomelea kiustadi.

Jifunze kutumia Multimeter (Digital na analogue).
 
Course/tutorials ziko za kutosha youtube.

Anza kwa kujifunza jinsi semiconductors zinavyofanya kazi na namna ya kupima kama ni nzima au mbovu. Hapa naongelea Diodes na transistors kwani hizi ndizo sehemu kubwa ua electronics.

Jifunze kuhusu aina za diode na transistors

Jifunze kuhusu matumizi ya kila aina ya transistor na diode.

Jifunze kuhusu Resistors, jinsi ya kusoma value ya resistor kwa kutumia color code zake.

Jifunze aina za resistor na matumizi yake.

Jifunze kuhusu capacitors na aina zake, matumizi yake na namna ya kupima kama ni nzima au mbovu.

Hizo ndio main components ambazo utakumbana nazo sana. Zingine utajifunza mdogo mdogo.

Jifunze kushika gun, na kuchomelea kiustadi.

Jifunze kutumia Multimeter (Digital na analogue).
Asante sanaaa..angalau nimejua pa kuanzia
 
Good boy
Nikiwa mwaka wakwanza chuo cha ufundi pale D.............
Nilitamani sana kujua power amplifier na sound system kiujumla kusuka,nliwafuata baadh ya mafundi wakagoma kunisaidia,chuo tunaingia saa2 kutoka saa11
Kwakitumia smartphone nlisoma components mbali mbali nkafahamu kwa kiasi ,finally nkasuka circuit yangu yakwanza ,nkaendelea mala nyingi,japo nmekula hasara nyingi kwenye testing kwakua nipo mkoani vitu ni ghali sanna
Nliharibu iPhone yangu upande wa sauti
Nkauwa pc yangu channel moja sauti haipigi.
Ila leo nnaweza kusuka mdundo wowote!

Ushauri wangu soma uielewe kila ic utakayotaka kuitumia
Ujue specification zake
Utafanikiwaaa
Im good in power amplifier welcome.
 
Good boy
Nikiwa mwaka wakwanza chuo cha ufundi pale D.............
Nilitamani sana kujua power amplifier na sound system kiujumla kusuka,nliwafuata baadh ya mafundi wakagoma kunisaidia,chuo tunaingia saa2 kutoka saa11
Kwakitumia smartphone nlisoma components mbali mbali nkafahamu kwa kiasi ,finally nkasuka circuit yangu yakwanza ,nkaendelea mala nyingi,japo nmekula hasara nyingi kwenye testing kwakua nipo mkoani vitu ni ghali sanna
Nliharibu iPhone yangu upande wa sauti
Nkauwa pc yangu channel moja sauti haipigi.
Ila leo nnaweza kusuka mdundo wowote!

Ushauri wangu soma uielewe kila ic utakayotaka kuitumia
Ujue specification zake
Utafanikiwaaa
Im good in power amplifier welcome.
Hongera Sana kuharibu ndo kuja kujua katika kujaribu mara kwa mara hatimaye unapata kile ulichohitaji ila tu uwe na nia. Electonics kiukweli inahitaji uipende ndo utafanya vema.
 
Hongera Sana kuharibu ndo kuja kujua katika kujaribu mara kwa mara hatimaye unapata kile ulichohitaji ila tu uwe na nia. Electonics kiukweli inahitaji uipende ndo utafanya vema.

Kama haujaipenda kaaaamweee hautaipenda
 
Back
Top Bottom