I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Habari wakuu, napenda kujua hii biashara ya magezeti inafanyikaje na faida yake ipoje nataka niifanye kisasa zaidi.
Reja reja na jumlaKwa jumla au rejareja?
Yan nina mawazo nifungue kitu ambacho kama bookshop ikiwemo magazeti ila ni eneo la pembeni ya barabara ntaweka nasehem ya kupumzika kwaio utaweza kukodi gazeti lako utakaa nalo nakusama hapo kwa mda utao taka ww.pia sio gazeti tu hta kitabu chochote unakod unakaa hapo nje unasoma."kisasa zaidi" unamaanisha nini mkuu, tuanzie hapo kwanza...
Hiyo nimefatilia sana lkn naambiwa mpka niwe mwanataaluma ya habariDying business..
Bora uweke YouTube channel ya uchambuzi wa magazeti
hiyo nimefatilia sana lkn naambiwa mpka niwe mwanataaluma ya habari
hiyo nzuri alafu kibabe zaidTumia mwenye vyeti kama partner
Atakusaidia registration halafu unampiga chini
haina faisa, Mulaga analipwa na ccm auze asiuze, hayasomwi kwakuwa hakuna uhuru wa vyombo vya habari,Habari wakuu, napenda kujua hii biashara ya magezeti inafanyikaje na faida yake ipoje nataka niifanye kisasa zaidi.