Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,113
- 19,675
Kwani huko singida anaenda bure?au ameomba umchangie nauli?Tafuta hela bwana acha kusumbua watu .
Kwa ndege ni saa moja tu, kwa gari masaa 11, kwa pikipiki siku 3, kwa mguu sina uzoefuWadau, naomba msaada wenu kwa wenye uzoefu wa kwenda Singida. Sijawahi kusafiri kwenda mkoa huo na ninataka kusafiri mwanzoni mwa mwezi wa Machi mwaka huu.
Ninaomba kuelekezwa mambo yafuatayo ili niweze kupanga bajeti yangu vizuri.
1. Nauli kutoka Dar hadi Singida Igunga
2. Gharama za malazi guest shilingi ngapi na zinapatikana karibu na stand?
3. Nitafika saa ngapi nikitoka Dar saa kumi na mbili au saa moja asubuhi
Nitashukuru sana kwa msaada walau na mimi nifanye ziara ya siku mbili katika mikoa hiyo maana napasikia tu na sina uzoefu wa kusafiri safari ndefu, kwa hiyo itakuwa safari yangu ya kwanza.
Asante kwa muda wako na msaada wako
Mdau wa JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Baba wa Wazee si Mzee Mmasi, alishafariki nadhani 5 yrs ago.Ukifika Singida msalimie Baba wa wazee...sijui kama bado yupo hai,pamoja na mzee Halingumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Baba wa Wazee si Mzee Mmasi, alishafariki nadhani 5 yrs ago.
ASANTE mkuuNauli ya Dar Singida ni Tshs. 32,000/---35,000/-.
Guest karibu na stend ya mabasi zipo kuanzia Tshs. 10,000/-.
Muda wa kufika ni kuanzia saa 12 jioni-- Saa 1usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTE mkuuKwa ndege ni saa moja tu, kwa gari masaa 11, kwa pikipiki siku 3, kwa mguu sina uzoefu
Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTE kwa kujisaidia maana jamii forum ni mahali ambapo wengi tunaamini unaweza kupitiwa msaada mkuu, hivyo mimi napaheshimuKwani huko singida anaenda bure?au ameomba umchangie nauli?
Yaani mtu anaenda kutalii huoni kwamba anatumia hela? Hivi huwa mna akili za wapi nyinyi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Amejisaidia wapi mkuu?ASANTE kwa kujisaidia maana jamii forum ni mahali ambapo wengi tunaamini unaweza kupitiwa msaada mkuu, hivyo mimi napaheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaenda Singida au unaenda Igunga?????Wadau, naomba msaada wenu kwa wenye uzoefu wa kwenda Singida. Sijawahi kusafiri kwenda mkoa huo na ninataka kusafiri mwanzoni mwa mwezi wa Machi mwaka huu.
Ninaomba kuelekezwa mambo yafuatayo ili niweze kupanga bajeti yangu vizuri.
1. Nauli kutoka Dar hadi Singida Igunga
2. Gharama za malazi guest shilingi ngapi na zinapatikana karibu na stand?
3. Nitafika saa ngapi nikitoka Dar saa kumi na mbili au saa moja asubuhi
Nitashukuru sana kwa msaada walau na mimi nifanye ziara ya siku mbili katika mikoa hiyo maana napasikia tu na sina uzoefu wa kusafiri safari ndefu, kwa hiyo itakuwa safari yangu ya kwanza.
Asante kwa muda wako na msaada wako
Mdau wa JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauli Ni Tsh 35,000/- hadi Singida/Igunga, Guest house/Lodge/hotels zipo za kumwaga Ila nzuri Ni mbali kidogo na stand kuanzia 10,000/- hadi 500,000/- uwezo wako tu, chakula utakula unachotaka, vinywaji Kama kawa!!!!
Karibu sana mgeni mtarajiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauli Ni Tsh 35,000/- hadi Singida/Igunga, Guest house/Lodge/hotels zipo za kumwaga Ila nzuri Ni mbali kidogo na stand kuanzia 10,000/- hadi 500,000/- uwezo wako tu, chakula utakula unachotaka, vinywaji Kama kawa!!!!
Karibu sana mgeni mtarajiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda alimaanisha 50,000.Singida kuna nyumba ya kulala bei laki tano/500,000/=??
Ni ipi hiyo naomba ututajie,acha kutoa like za kipuuzi!!
Soon kuna wageni wangu wanakuja huko kikazi,ni international status.
Au wakati unaandika viroba vya pale Serengeti baa karibu na Singida motel/Furaha Cinema vilishaharibu ubongo wako?
Singida kuna nyumba ya kulala bei laki tano/500,000/=??
Ni ipi hiyo naomba ututajie,acha kutoa like za kipuuzi!!
Soon kuna wageni wangu wanakuja huko kikazi,ni international status.
Au wakati unaandika viroba vya pale Serengeti baa karibu na Singida motel/Furaha Cinema vilishaharibu ubongo wako?
Labda alimaanisha 50,000.
Regency yenyewe sidhani kama kuna chumba cha bei hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda,hata hasemi kuwa kakosea amenyamaza tu.Labda alimaanisha 50,000.
Regency yenyewe sidhani kama kuna chumba cha bei hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhaya At workWe matako kweli kweli.Au nilivyokuwa nauliza ulidhani sijui kuwa Singida hakuna hoteli yoyote hata kwa ndoto yenye bei ya laki tano/500,000/=
Kama kuna hoteli yoyote Singida yenye chumba bei 200,00/= tuambie.
Msiwe mnapenda ujiko wa kijinga.
Eti siyo ya levo yangu,njoo hapa karibu na Meatu hoteli karibu stendi ya zamani/jengo la CCM uje unywe supu acha kumbwelambwela.
Jioni nakupeleka pale mitaa ya Namfua ukachukue walau dada yako moja ukajipoze,leo madereva wa malori sio wengi.
Kesho asubuhi tukaangalie vitunguu vyangu kule maeneo ya Meria,Ikhanoda,Mtinko,Ilongero,Ngamu halafu tunatokea Gawidu tunaenda Mulbadow mpaka Katesh kuelekea Mwamire karibu na Galapo.
Hahahahahaha!!!!