Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Mm nataka kujua pombe gani nzuri,inayo toa kitambi fasta fasta
Ndio hata sasa hivi nakunywa lakini sio kitu ninachoweza kumshauri mtu ambaye hajawahi kunywa kabisa.Umeshawahi kuonja,
Nani amekwambia hapa najizungumzia mimi?Pombe haijawahi mdhalilisha mtu mkuu Kama kichwa chako ni chepesi Kama karatasi usisingizie pombe.
Usiogope kitu ambacho hujakionja, pombe ni rafiki mzuri sana ukinywa kwa tahadhariHazijanifanya kitu ila zinadhalilisha sana.
Halafu kama kichwa ni chepesi nasingizia vipi pombe? Mbona huo wepesi usionekane kabla mtu hajanywa pombe?Pombe haijawahi mdhalilisha mtu mkuu Kama kichwa chako ni chepesi Kama karatasi usisingizie pombe.
Hakuna pombe inayotoa kitambi, ila haiongezi kitambi maana hakuna pombe zenye kuunguza mafuta, kitambi kinatoka na mazoeziMm nataka kujua pombe gani nzuri,inayo toa kitambi fasta fasta
Pombe inahitaji busara kabla yenye haijakutoa busara, pombe ni lazima unywe kwa muktadha mmoja tu uangalifu, sio kufakamia pombe mchanganyikoHalafu kama kichwa ni chepesi nasingizia vipi pombe? Mbona huo wepesi usionekane kabla mtu hajanywa pombe?
Safari lager pombe za wanaume kamili, inafuatwa na konyagi na k vant, then wisky , baada ya hizo zinakuja pombe nyingine za wakina dadaKilimanjaro ya baridi hainaga mpinzani
Kuna Dada jirani na kwangu anazinywa aiseeeee, analewaa njwiiiii, hadi anafungiwa kwenye boda anarudishwa nyumbani.Usiogope kitu ambacho hujakionja, pombe ni rafiki mzuri sana ukinywa kwa tahadhari
Dahhhh mwanafunzi kaja kuwa mwalimu, pombe ukiipenda kwa adabu nayo itakupenda vivyo hivyo, kuna hile Hannah unakunywa mbili au tatu unaenda kulala, sio unakunywa safari, Kilimanjaro, banana, k vant hapo lazima umwage radhiKuna Dada jirani na kwangu anazinywa aiseeeee, analewaa njwiiiii, hadi anafungiwa kwenye boda anarudishwa nyumbani.
Akisikia mkojo sasa hajali yupo wapi anashusha nguo anaumwagaa waaa. Ukimkuta hajanjwa ni mzuri sana ila akishakunywa ni balaa.
Halafu ana mume na watoto aisee, na huyu mume ndio alimfundisha pombe, sasa hivi anajuta.
Pamoja sana mkuu.Mkuu hizo bia kuna siku zitakuja kukutia hasara, nakushauri anza na Kvant chupa ndogo.
Zingatia: nyama/kitimoto kwa wingi kabla na wakati unakunywa.
Ukizingatia hilo haki ya Mungu nakuapia hicho kiingereza cha kilevi utakisikia kwa wanywa bia,wewe hakitakuhusu.
Karibu chamani, tunywe kwa amani.
Na uwe na hela pia.Dahhhh mwanafunzi kaja kuwa mwalimu, pombe ukiipenda kwa adabu nayo itakupenda vivyo hivyo, kuna hile Hannah unakunywa mbili au tatu unaenda kulala, sio unakunywa safari, Kilimanjaro, banana, k vant hapo lazima umwage radhi
Safari ni KaliAnza na safari mix na bapa
Pombe kama Hennessey its tsh 100000Na uwe na hela pia.
Ukosefu wa hela ndio unafanya watu wachanganye changanye ili kichwa kipate moto haraka.
Madhara mengine ya pombe kwa mtu asiye na hela ni kugeuka omba omba wa kununuliwa pombe. Huku ni kujidhalilisha pia.
Wewe ukinywa unajisikiaje?Ndio hata sasa hivi nakunywa lakini sio kitu ninachoweza kumshauri mtu ambaye hajawahi kunywa kabisa.