Nataka mashine ya LUKU haraka sana

Nenda ofisi ya max malipo au selcom utapata hizi mashine siyo vizuri kununua mikononi mwa watu mkuu kwa dunia ya sasa ya tehama ushauri tu
 
Npo g.mboto mashine iko vizur imetumika kama miez 4 hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom