kyaibumba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 715
- 989
Helloo mko njema hapa jamani?
Nimepachoka Tanzania nikaamua nifanye michakato yangu kwenda Ukraine au nchi yeyote ya nje,
Kwa bahati nzuri kuna kanisa moja limeniita nikalee wazee kwenye kituo chao lipo Dnipropetrovisk
Lakin nawaza nasikia Ukraine ni wabaguzi Sana yan mpaka naogopa story nazopewa,
Kwa haraka haraka nimegundua kuna maeneo ni wabaguzi Sana na kuna maeneo afadhali Kwa kuishi, nauliza wakuu ni wapi pako powa kuishi hasa Kwa maeneo na unafuu wa maisha ndani ya Ukraine,
Pili je ni mazuri yapi ambayo nitayagain mimi nikiwa uko?
Nategemea kwenda mwezi wa 3 mwaka huu
Majibu plz
Je kuna mtanzania aishiye Ukraine?
UPDATED
Nimesharuka na kuoazoea Ukraine japo nilikuja Odessa Badala ya Dnipropetroviisk
Kwaheri Tanzania: Juma langu la Kwanza ndani ya Ukraine, Odessa
Nimepachoka Tanzania nikaamua nifanye michakato yangu kwenda Ukraine au nchi yeyote ya nje,
Kwa bahati nzuri kuna kanisa moja limeniita nikalee wazee kwenye kituo chao lipo Dnipropetrovisk
Lakin nawaza nasikia Ukraine ni wabaguzi Sana yan mpaka naogopa story nazopewa,
Kwa haraka haraka nimegundua kuna maeneo ni wabaguzi Sana na kuna maeneo afadhali Kwa kuishi, nauliza wakuu ni wapi pako powa kuishi hasa Kwa maeneo na unafuu wa maisha ndani ya Ukraine,
Pili je ni mazuri yapi ambayo nitayagain mimi nikiwa uko?
Nategemea kwenda mwezi wa 3 mwaka huu
Majibu plz
Je kuna mtanzania aishiye Ukraine?
UPDATED
Nimesharuka na kuoazoea Ukraine japo nilikuja Odessa Badala ya Dnipropetroviisk
Kwaheri Tanzania: Juma langu la Kwanza ndani ya Ukraine, Odessa