virgin virgin
Member
- Sep 27, 2017
- 33
- 25
Acheni kuongea vitu msivo vijua et “hakuna form five" form five ipo na minimum qualification ni D `s tatu tu
ngojea mimi nikushauri kwa matokeo yako hayo kama ni yakwel bora utafute shule ya private usomee hapa hapa bongo sababu elimu ya uganda iko chini sana kuliko nchi zote EastAfrica so hiyo itakuchafulia cv yako
kuhusu combination yakuchagua hiyo nikazi yako wewe mwenyewe pima mambo mawil moja; Ni vision yako ukishajua basi utapata jibu usomee combination gani
pili;Angalia masomo ulio perform vizuri hii inaweza kukupa mwanga wa kujua wewe ni mzuri kwenye kombi ipi kwenda uganda ni kuuwa cv bora uende nchi nyingine
*virginboy*
ngojea mimi nikushauri kwa matokeo yako hayo kama ni yakwel bora utafute shule ya private usomee hapa hapa bongo sababu elimu ya uganda iko chini sana kuliko nchi zote EastAfrica so hiyo itakuchafulia cv yako
kuhusu combination yakuchagua hiyo nikazi yako wewe mwenyewe pima mambo mawil moja; Ni vision yako ukishajua basi utapata jibu usomee combination gani
pili;Angalia masomo ulio perform vizuri hii inaweza kukupa mwanga wa kujua wewe ni mzuri kwenye kombi ipi kwenda uganda ni kuuwa cv bora uende nchi nyingine
*virginboy*