Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,417
- 1,645
Mtaji unamtosha kabisa kwenda china inatagemea na nini anataka kufanya.Mkuu,, mtaji mdogo Sana,, nenda Nairobi utapata mzigo
Mtaji unamtosha kabisa kwenda china inatagemea na nini anataka kufanya.Mkuu,, mtaji mdogo Sana,, nenda Nairobi utapata mzigo
Mkuu ingependeza nikupelekeMabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone
Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe
1-Gharama zandege kwenda nakurudi
2-Nisehemu ipi nzuri kununulia mzigo kati dubai na china
3 -Kusafiri kutoka dsm hadi china au dubai huwa inachukua mda gani navipi hoteli zakule zabei yakawaida kwamfanya biashara mdogo anayeanza gharama zake zikoje
4 -Utaratibu wakusafilisha mzigo ukoje
Natangiza shukuran kwakuwa naamini mtanipatia maelekezo yakutosha namtanikumbusha na hata niliyoyasahau kwakuwa mimi itakuwa mara ya kwanza kabisa kifupi sijui chochote pia msisahau kuhusu huo mtaji ambao nahitaji kwenda nao itatosha kuanzia au inakuwaje
Mi naongezea apande ethiopian airline na wakati wa kurudi ashuke nairobi apande basi za dar atasave karibu laki 500.Nauli toka Dar hadi Guangzhou ni kuanzia dollar 1200 hapo inategemea na siku hiyo ni go return
Nashauri pakia Ethiopia maana inatoa Kg nyingi.
Hii waweza book na kulipia mwenyewe au utembelee ofisi za Ethiopia. Mawakala huwa wanaongeza dollar 100 kwa kila ticket.
Ukifika Guangzhou uamuzi ni wako
Ukipakia Taxi utalipa hela nyingi inaweza fika 100 hadi 300yuan kama Laki hivi ili ufike Kati kati.
Au utumie Train yenyewe ni bei rahisi nadhani ni yuani chini ya 50
Hotel pia uchaguzi ni wako zipo ambazo utakuwa watu weusi ndio wengi na hizo bei zake ni ndogo kwa siku na zipo hotel za bei kubwa kazi kwako.
Kuhusu chakula kuna kihotel kwa Mtz wanapika chakula cha Ktz hapo Guangzhou.
Kutembezwa sokoni kuna Watz wako huko ila ndo hivyo ukienda nao wanakuongezea bei.
Kutuma mzigo unaweza kuja nao ila TRA airport hawatakuacha salama.
Au
Unalipia kwa Kg hao watz wanakutolea kwa dollar 10 kwa kila mzigo au 20000 kwa kila simu.
Wao wanajua wanavyofanya huko airport.
Haha lol Inategemea ndugu hotel zipo mpk milioni nne kwa siku apa . Lakini pia zipo elfu hamsini na kuendelea. So Itategemea yeye anakaa mda gn Kama siku mbili tu atakaa hotel km yupo zaid ya wiki or mpk mwezi dola Mia ni best optionMkuu kwani akienda kulala hotelini itamgharimu dola ngapi kulala usiku mmoja?
doh isabu njema SanaMi naongezea apande ethiopian airline na wakati wa kurudi ashuke nairobi apande basi za dar atasave karibu laki 500.
Wacha na mimi nifanye kama wewe.Kwa nini usiagize kwa wafanyabiashara wanaoishi china bidhaa unazotaka ukasave nauli malazi n. K?
Anyway nimesubscribe tu na mie nijifunze.
Mi naongezea apande ethiopian airline na wakati wa kurudi ashuke nairobi apande basi za dar atasave karibu laki 500.
Kwa hiyo mkuu mtu akienda China kwa hizo gharama zote halafu akarudi na simu 15 za smart ambazo Bei yake iwe laki 5 Hadi laki 9 kila moja inaweza kumlipa kweli?1. Nauli return ticket quanzhou ni usd 850 to 950
2. Hotel ni rmb 150 sawa na usd 22 per day
3.matumizi ya kula, kula vzr utatumia rmb 100 per day sawa na usd 14
4. Simu utaenda kununua dashatou hapo quanzhou unapanda basi kutokea shushanlou no.4 au no.2 ni rmb 7 sawa na usd 1
5. Simu za mill 20 utanunua siku 2 tu, itadepend na aina za simu utakazochukua ila vzr kuchukua simu kubwa kubwa ndo zitakulipa
Nb. Kwenye ndege mwisho simu 15 tu pia usitumie agent kukununulia simu utapata hasara nenda mwenyewe na pesa zako mkononi don't trust anyone
Sent from my HUAWEI MT7-L09 using JamiiForums mobile app
Swali zuriKwa hiyo mkuu mtu akienda China kwa hizo gharama zote halafu akarudi na simu 15 za smart ambazo Bei yake iwe laki 5 Hadi laki 9 kila moja inaweza kumlipa kweli?
Atoe gharama zote na faida ibaki?
Mkuu ingependeza nikupeleke
No kila kitu anayo option yeye. Ila kwa Mimi ushaur wangu Dubai is better kuliko China kwa kua anadeal na simu na accessories zkeBoss ina maana inabidi akukatie ticket, akuaccomodate pia?
Sasa expenses zitakuwa double double
Kwani China ni maarufu kwa bidhaa gani?No kila kitu anayo option yeye. Ila kwa Mimi ushaur wangu Dubai is better kuliko China kwa kua anadeal na simu na accessories zke
Nadhani huyu atakuwa ni mwalimu wa mwandiko, anasahihisha matumizi ya L na RBos matumiz ya L na R siyo yanayoenda kununua mzigo wala elimu syo inayoenda kununua mzigo kumbuka wasukuma kule mwanza wanaenda huko wengine hawajui hata kusoma au kuandika
Garama baba Acha kupaukaKwani China ni maarufu kwa bidhaa gani?
Au Dubai Kuna bidhaa gani ambazo China hakuna?
Nenda Korea simu used za Samsung, LG na Apple bei cheeeeeeeeeeMabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone
Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe
1-Gharama zandege kwenda nakurudi
2-Nisehemu ipi nzuri kununulia mzigo kati dubai na china
3 -Kusafiri kutoka dsm hadi china au dubai huwa inachukua mda gani navipi hoteli zakule zabei yakawaida kwamfanya biashara mdogo anayeanza gharama zake zikoje
4 -Utaratibu wakusafilisha mzigo ukoje
Natangiza shukuran kwakuwa naamini mtanipatia maelekezo yakutosha namtanikumbusha na hata niliyoyasahau kwakuwa mimi itakuwa mara ya kwanza kabisa kifupi sijui chochote pia msisahau kuhusu huo mtaji ambao nahitaji kwenda nao itatosha kuanzia au inakuwaje
Asante kwa maelezo,japokuwa umetumia lugha mbaya ukidhani labda nataka kukuharibia biashara kumbe Mimi sipo huko nipo kwa lengo la kujifunza tu.Garama baba Acha kupauka
Haha sijaona luga mbaya Apo aiseeAsante kwa maelezo,japokuwa umetumia lugha mbaya ukidhani labda nataka kukuharibia biashara kumbe Mimi sipo huko nipo kwa lengo la kujifunza tu.
Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone
Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai kununua simu au vifaa vyaumeme naomba munieleweshe
1-Gharama zandege kwenda nakurudi
2-Nisehemu ipi nzuri kununulia mzigo kati dubai na china
3 -Kusafiri kutoka dsm hadi china au dubai huwa inachukua mda gani navipi hoteli zakule zabei yakawaida kwamfanya biashara mdogo anayeanza gharama zake zikoje
4 -Utaratibu wakusafilisha mzigo ukoje
Natangiza shukuran kwakuwa naamini mtanipatia maelekezo yakutosha namtanikumbusha na hata niliyoyasahau kwakuwa mimi itakuwa mara ya kwanza kabisa kifupi sijui chochote pia msisahau kuhusu huo mtaji ambao nahitaji kwenda nao itatosha kuanzia au inakuwaje
No mchek tu akupe a b cFaiza ni yule demu wa sugu sio?
Yule siwezi muamini hata sekunde.