Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 3,951
- 4,264
We puunga, Bahresa ana elimu gani? Nani anaendesha makampuni yake? Umeona elimu zao huko kwenye website yake yake? Acha bange banaNenda kariakoo pale wenye maduka makubwa kaulize elimu kama utamkuta ata mwenye phd uje humu usimulie, nenda mwanza, kahama, mbeya, tunduma kaone watu walivyo na mawe alaf kaulize elimu yao uone...
Tafuta pesa uone kama wenye hyo elimu hawajaanza kujikomba komba kwangu kwa mapambio.