Kitty Galore
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 345
- 100
Kwa mwanaJF aliyepo Comoro au aliyewahi kufika, naomba anipe maelezo ya usafiri, malazi n.k. Ninataka kwenda kwa ajili ya mapumziko, Nimejaribu kugoogle lakini usafiri niliouona wa kutoka Dar ni Air Tanzania na mnajua tena shirika letu hili linapumulia mashine.
Nashukuru kwa ushirikiano wenu, ninaamini hapa nitapata information zilizo kamilika.
Nashukuru kwa ushirikiano wenu, ninaamini hapa nitapata information zilizo kamilika.