Nataka kuweka pesa fixed deposit/fixed term naombeni ushauri

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Feb 26, 2018
2,490
3,534
Habari wadau..!

Kwa tetesi za mtaani viwango vya riba vimeongezwa kwa wale wanohitaji kuweka pesa kwenye akaunti za kuzaa faida yaani Fixed deposit au fixed term ,wanadai hii inatokana na ukwasi katika mabenki mengi hivyo wanahitaji watu watakao weka pesa kwenye mabenki yao.Je ni kweli?

Kwa sasa nina kama 10M nataka niiweke fixed kwa muda wa miaka 5 je naweza pata kiasi gani kila mwezi?

Benki gani wana riba nzuri na vigezo na masharti yao ni nafuu?

Nawasilisha na natanguliza shukrani kwenu wachangiaji.
 
Habari wadau..!
Kwa tetesi za mtaani viwango vya riba vimeongezwa kwa wale wanohitaji kuweka pesa kwenye akaunti za kuzaa faida yaani Fixed deposit au fixed term ,wanadai hii inatokana na ukwasi katika mabenki mengi hivyo wanahitaji watu watakao weka pesa kwenye mabenki yao.Je ni kweli???

Kwa sasa nina kama 10M nataka niiweke fixed kwa muda wa miaka 5 je naweza pata kiasi gani kila mwezi??

Benki gani wana riba nzuri na vigezo na masharti yao ni nafuu??

Nawasilisha na natanguliza shukrani kwenu wachangiaji.
Mheshimiwa, achana na hizo fixed deposit bank, nenda UTT wekeza pesa zako huko, nenda tawi la CRDB wakupe maelekezo namna ya kuwekeza UTT, na kama uko Dar Nenda Sukari House Ohio, au PSSSF Dodoma, au Mwanza, Mbeya na Arusha. Lakni kama hauko sehemu nilizotaja zenye office za UTT, basi nenda CRDB wao ni kama agent wao. Kuna kitu kinaitwa Bond fund Investment, nadhani kitakufaa. Shukrani unipe baadaye
 
sijajua umetaja ukwasi ukimaanisha utajiri ama nini??iweje wahimize uwekezaji tena!!iko hivi.
1 mln kwa mwaka inazalisha kama 25k hivi.

25×5×5=625 kwahiyo kwa miaka mitano utavuna laki 6 na kitu.biashara kichaa kabisa hii.

hii inawafaa wenye mpunga mrefu ambao hawana kazi na pesa husika kwa wakati huo.
 
10M unapata ngp for 5yrs?
Mheshimiwa, achana na hizo fixed deposit bank, nenda UTT wekeza pesa zako huko, nenda tawi la CRDB wakupe maelekezo namna ya kuwekeza UTT, na kama uko Dar Nenda Sukari House Ohio, au PSSSF Dodoma, au Mwanza, Mbeya na Arusha. Lakni kama hauko sehemu nilizotaja zenye office za UTT, basi nenda CRDB wao ni kama agent wao. Kuna kitu kinaitwa Bond fund Investment, nadhani kitakufaa. Shukrani unipe baadaye
 
Habari wadau..!

Kwa tetesi za mtaani viwango vya riba vimeongezwa kwa wale wanohitaji kuweka pesa kwenye akaunti za kuzaa faida yaani Fixed deposit au fixed term ,wanadai hii inatokana na ukwasi katika mabenki mengi hivyo wanahitaji watu watakao weka pesa kwenye mabenki yao.Je ni kweli?

Kwa sasa nina kama 10M nataka niiweke fixed kwa muda wa miaka 5 je naweza pata kiasi gani kila mwezi?

Benki gani wana riba nzuri na vigezo na masharti yao ni nafuu?

Nawasilisha na natanguliza shukrani kwenu wachangiaji.
Cc Extrovert
 
Mheshimiwa, achana na hizo fixed deposit bank, nenda UTT wekeza pesa zako huko, nenda tawi la CRDB wakupe maelekezo namna ya kuwekeza UTT, na kama uko Dar Nenda Sukari House Ohio, au PSSSF Dodoma, au Mwanza, Mbeya na Arusha. Lakni kama hauko sehemu nilizotaja zenye office za UTT, basi nenda CRDB wao ni kama agent wao. Kuna kitu kinaitwa Bond fund Investment, nadhani kitakufaa. Shukrani unipe baadaye
Ngigana naomba unipe kidogo Elimu ya UTT
 
Habari wadau..!

Kwa tetesi za mtaani viwango vya riba vimeongezwa kwa wale wanohitaji kuweka pesa kwenye akaunti za kuzaa faida yaani Fixed deposit au fixed term ,wanadai hii inatokana na ukwasi katika mabenki mengi hivyo wanahitaji watu watakao weka pesa kwenye mabenki yao.Je ni kweli?

Kwa sasa nina kama 10M nataka niiweke fixed kwa muda wa miaka 5 je naweza pata kiasi gani kila mwezi?

Benki gani wana riba nzuri na vigezo na masharti yao ni nafuu?

Nawasilisha na natanguliza shukrani kwenu wachangiaji.
Bora ununue viwanja after 3 yrs utauza kwa bei nzuri lakini siyo huo ujinga wa kuweka bank
 
Ingia playstore download UTT Amis app. Ingia barizi humo usome uelewe.

Kuna namba ukiwapigia wanakupa maelekezo. Very convenient unaweka hela kwa mpesa ama bank transfer kwa kari upendavyo. Riba ni minimum 13% kwa mwaka ambayo inapigwa daily. Ni njia nzuei ya kufanya biashara salama. Kila la kheri
UTT ni nini wakuu?
Fixed account faida yao ni ndogo sana
 
Ingia playstore download UTT Amis app. Ingia barizi humo usome uelewe.

Kuna namba ukiwapigia wanakupa maelekezo. Very convenient unaweka hela kwa mpesa ama bank transfer kwa kari upendavyo. Riba ni minimum 13% kwa mwaka ambayo inapigwa daily. Ni njia nzuei ya kufanya biashara salama. Kila la kheri
Asante sana
 
Ingia playstore download UTT Amis app. Ingia barizi humo usome uelewe.

Kuna namba ukiwapigia wanakupa maelekezo. Very convenient unaweka hela kwa mpesa ama bank transfer kwa kari upendavyo. Riba ni minimum 13% kwa mwaka ambayo inapigwa daily. Ni njia nzuei ya kufanya biashara salama. Kila la kheri
Kwenye scheme za kuchagua kuna umoja fund, kuna bond sijui ipi ni nzuri ya kuchagua
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom