Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
Wandugu nina tatizo kubwa sana hapa.
Mimi ninamiliki line ya tiGO toka 2009
Mwezi wa 10 nilipokea msg kwenye simu yangu ikisema "Mr. 714507507, Your service class changed from Tigo PPS to ConVen1, and the new service class effects on 2012-10-12"
Sasa baada ya ujumbe huo nikaanza kuona mabadiliko ya kimatumizi kwenye simu yangu. Leo nimekwenda tigo kuuliza badiliko hilo la Service wakaniuliza namba yangu na jina langu kamili, nikataja wakaniambia: "HII LINE SIO YA KWAKO" mmiliki wa hii line ni TANZANIA STANDARD (N) LTD toka tarehe hiyo tajwa kwenye msg.
Kiukweli niligombana na Customer Care kwa kuuliza kwa nini tiGO wamebadilisha umiliki wa line yangu kutoka kwangu kwenda kwa Kampuni bila kushirikishwa. Walipoangalia usajili wa tiGO Pesa ni kwa jina langu lakini Line ni kwa jina la hiyo Kampuni. Na usajili wa jina kwenye tiGO pesa ni wa zamani kuliko huo wa Kampuni. Nikawaambia warudishe umiliki huu kwenye Jina la awali wakakataa mpaka nipeleke kwao Barua ya Kampuni ili kubadirisha.
Sasa Wandugu nahitaji msaada hapa wa Kisheria na wanasheria wachangamkie deal hii tuwashitaki tiGO kwa kubadilisha umiliki halali wa line yangu bila ridhaa yangu mimi hivyo kufanya TAARIFA ZANGU ZOTE KUWA MALI YA KAMPUNI na wanayo mamlaka juu ya line ambayo toka awali haikuwa yao.
Naombeni msaada hapa.
Mimi ninamiliki line ya tiGO toka 2009
Mwezi wa 10 nilipokea msg kwenye simu yangu ikisema "Mr. 714507507, Your service class changed from Tigo PPS to ConVen1, and the new service class effects on 2012-10-12"
Sasa baada ya ujumbe huo nikaanza kuona mabadiliko ya kimatumizi kwenye simu yangu. Leo nimekwenda tigo kuuliza badiliko hilo la Service wakaniuliza namba yangu na jina langu kamili, nikataja wakaniambia: "HII LINE SIO YA KWAKO" mmiliki wa hii line ni TANZANIA STANDARD (N) LTD toka tarehe hiyo tajwa kwenye msg.
Kiukweli niligombana na Customer Care kwa kuuliza kwa nini tiGO wamebadilisha umiliki wa line yangu kutoka kwangu kwenda kwa Kampuni bila kushirikishwa. Walipoangalia usajili wa tiGO Pesa ni kwa jina langu lakini Line ni kwa jina la hiyo Kampuni. Na usajili wa jina kwenye tiGO pesa ni wa zamani kuliko huo wa Kampuni. Nikawaambia warudishe umiliki huu kwenye Jina la awali wakakataa mpaka nipeleke kwao Barua ya Kampuni ili kubadirisha.
Sasa Wandugu nahitaji msaada hapa wa Kisheria na wanasheria wachangamkie deal hii tuwashitaki tiGO kwa kubadilisha umiliki halali wa line yangu bila ridhaa yangu mimi hivyo kufanya TAARIFA ZANGU ZOTE KUWA MALI YA KAMPUNI na wanayo mamlaka juu ya line ambayo toka awali haikuwa yao.
Naombeni msaada hapa.