naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,065
Mkuu tafuta vizuri data PPF wanalipa fao la kujitoa ila kwa conditions fulan fulan kama Redundancy na project kuisha ila sio kufukuzwa au kuacha kaziMkuu, kabla hujachukua uamuzi wa kwenda court, nikuulize umefatilia vizuri benefits zinazotolewa na PPF na vigezo na masharti ya kupata mafao yako?,
PPF wana scheme 3, traditional, deposit administration na wote scheme, kila scheme ina vigezo vyake (soma uvijue wewe ulikuwa kwenye scheme gan),
Sasa kwenye mafao yanayotolewa na PPF kuna old age, survival benefits, maternity, gratuity, death, education na disability. Hawa jamaa hawana withdraw benefits kama walivyo NSSF na mifuko mingine, sasa kwa ishu yako ya kufukuzwa kazi kwenda kudai mafao yako itakubid hadi utimize miaka 55+ hapo ndo utaweza kudai mafao ambapo utapewa old age au gratuity inategemea na umechangia kwa muda gani.
Mim binafsi sikushauri uende court ila jaribu kupata mshauri mzuri mwenye uelewa na mifuko ya hifadhi ya jamaa especially PPF, huyo mhudumu alikuwa anakuletea bla bla nyingi ila ukweli ni huo PPF hawana fao la kujitoa ukiacha kazi subiri ufikie umri wa pension ambao ni miaka 55+