Hivi JK ni kina nani wanamshauri?? leo alipanic sana hakubeba haiba ya kiongozi mkuu kabisa!!!
Japo mimi Mzushi lakini kwa hili nimejiapiza kabisa baada ya kusikia kauli ya JK Kuwa tutakiona cha mtema kuni basi mimi nitakuwa wa kwanza kudungwa risasi CCM wakituhubutu kulazimisha Goli la mkono.
Namimi nasema nitakuwa wapili kuchapwa risasi kwanza nishachoka na maccm
Mama salma na rizmoja